Kweli raha kwao ni kila kitu,ukiweza kumkuna vzuri awezi kuchepuka.Una uzoefu nao eeeh.... hehehehhee ila pamoja na kupata uzoefu kwao, bado hujagundua kuwa hawatafuti phd ya kitandani..... raha kwao ndo kila kitu ndomaana wanazidi kubongeka.
Pia kizuri hakikosi kasoro...... utamu unautaka ila tipwa hutaki...
kifua kama cha,.........nyani gabuRaha jipe mwenyeweee,naona hilo baba kifua hapo kama cha ,.............
mama kusoma sijui hata picha sioni??hahahaaAchana na maandishi wee soma picha tuu maana hapo nimeandika kwa lugha ya Taifa bado lugha gongana, ile lugha iliyokuja na meli itakuwa patashika. ......
Usipozielewa picha basi tena......
kila nikiona avatar (kofia kama mama rwakatare) nakumbuka ile thread yakoEewaaah kumbe ulikuwepo siku ile eeehh
Yaani tukimaliza kuisikilizia bakulutu ni waaah .... waah ... waaah hahahahahah