Konakali JF-Expert Member Dec 15, 2009 1,533 263 Oct 7, 2010 #1 Nahitaji namba za simu za Slaa, Mbowe na Zito....! ninalo la kuwaambia.
zumbemkuu JF-Expert Member Sep 11, 2010 10,831 8,620 Oct 7, 2010 #3 sidhani kama ulihitaji kuandika thread kwa ajili ya namba za simu, kama unazihitaji kweli ungezipata bila hata ku'post hiyo thread yako.
sidhani kama ulihitaji kuandika thread kwa ajili ya namba za simu, kama unazihitaji kweli ungezipata bila hata ku'post hiyo thread yako.
Kachanchabuseta JF-Expert Member Mar 8, 2010 7,269 675 Oct 7, 2010 #5 Konakali said: Nahitaji namba za simu za Slaa, Mbowe na Zito....! ninalo la kuwaambia. Click to expand... UNITAKA KUWATUMIA VIRUS? AU MIONZi??
Konakali said: Nahitaji namba za simu za Slaa, Mbowe na Zito....! ninalo la kuwaambia. Click to expand... UNITAKA KUWATUMIA VIRUS? AU MIONZi??
zumbemkuu JF-Expert Member Sep 11, 2010 10,831 8,620 Oct 7, 2010 #6 uwezo mdogo wa kufikiri. kwa namba za simu lazima azitafutie hapa JF?
zumbemkuu JF-Expert Member Sep 11, 2010 10,831 8,620 Oct 7, 2010 #8 henge said: anahaki ya kutafuta na kuzipata bwana Click to expand... wee niaje? Siande ofisini? Haya mpe wewe.
henge said: anahaki ya kutafuta na kuzipata bwana Click to expand... wee niaje? Siande ofisini? Haya mpe wewe.
M mageuzi1992 JF-Expert Member Apr 9, 2010 2,503 252 Oct 7, 2010 #9 We KONAKALi mbona upeo wako wa kufikiri mdogo hivyo inamaana hata hujavisit mtandao wa CHADEMA?
L Lubaluka JF-Expert Member May 18, 2009 496 44 Oct 7, 2010 #10 Huyo anapoteza muda wa watu kwa post isiyo na kichwa wala miguu !!!