tindikalikali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 4,855
- 1,117
Utakuta msichana ambaye huna mazoea naye ya karibu,, haishi kukulaumu, mara ooh siku hizi huoni, mara unaringa na lawama nyingine kibao. Hapo ujue umeshazimiwa, ila anashindwa jinsi ya kukuanza na anaona huna uelekeo kabisa wa kumtongoza. NAWASILISHA.