Hili shindano kimsingi japo n zuri kwa wale vijana wasiojua kutongoza.. Lakini naona linawadhalilisha sana wadada. Laonesha ni jinsi gani jinsia ya ke imekua bidhaa ya hovyo mpka kuanza nadiwa na madalali. Kimaadili halijakaa poa kabisa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.