Sick n tired na sred za Zitto!...toka lini msaliti ndumilakuwili akajadiliwa? yeye amekubali kuwa mole wa CCM kwa manufaa ya wanaccm na mabwana zao wa ulaya, basi ni bora akaondolewa ili akawatumikie vema kwa uwazi bila ya kificho...Watu wenye uwezo tuko wengi, wazalendo wenye machungu ya kweli kwa nchi yetu tuko wengi sana...enough is enough...adios amigo!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.