Nionavyo kuhusu mgogoro wa zitto na chadema

Status
Not open for further replies.

Nzilo

Senior Member
Nov 24, 2013
180
58
Kamati kuu ya Chadema ifanye uchambuzi wa kina ikiwa ni pamoja na kukusanya maoni ya msimamo wa wanachama wa CHADEMA kabla ya kufanya maamuzi yake....
 
Hii nayo thread? Huyo msaliti anawatumikisha sana, mwambieni hatakiwi Chamani...
 
Sick n tired na sred za Zitto!...toka lini msaliti ndumilakuwili akajadiliwa? yeye amekubali kuwa mole wa CCM kwa manufaa ya wanaccm na mabwana zao wa ulaya, basi ni bora akaondolewa ili akawatumikie vema kwa uwazi bila ya kificho...Watu wenye uwezo tuko wengi, wazalendo wenye machungu ya kweli kwa nchi yetu tuko wengi sana...enough is enough...adios amigo!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom