Niombe Talaka?


Umeolewa? Make nakuja pm soon...! Right woman kabisa.
 

Naungana na wewe 100%haiwezekani nini maana ya kuitwa baba?swala la malezi kwa mtoto/watoto ni jukum la wote baba na mama,iweje mwanao analia mflulizo masaa mawili wewe umelala tu,huo usingizi utakuwepo kweli?kwana kama kweli huyo ni mwanao utajiskia vibaya,pili ni kero mean kelele bila kuambembeleza hapalaliki.
 

Sipati picha we ndio ungekuwa housegirl wake!!::
 
Huuu use.nge wa big secret unawafanya watu wengi wanaishi katika mateso eti kisa secret. Sijui uvumilivu my foot..
Koh koh koh!
Ikishindikana saga mjusi

Yule mweupe hapana namuogopa sana kwa kweli..
 

Mkuu unajua mimi nashindwa kuelewa binadam tumeumbwa vip hivi mtu kukuuliza kwa nini umelala mtoto analia mda mrefu hautoi ushirikiano ni sababu ya kumpiga?Then mtu hahudumii familia yake especially watoto wake,watu hum wanatoa povu kumtetea hiv inawezekana?lakini pia unajiskia vp unapomgeuza binadam mwenzako kama punda wa kubeba mizigo yako yote na kipigo juu?how do you feel?how can you enjoy love&sex with a person who always you makes her sad? Je ulisha jiuliza kuwa kwa yote unayomfanyia anaenjoy kufanya mapenzi na wewe?anafurahi na kuwa na amani wakati mnapokuwa faragha kama hamna basi hakuna mwanauma hapo ila na mbakaji.
 
Ahsante sana Mkuu kuna baadhi ya wanaume hawajitambui kabisa inapokuja kwenye haya maswala.

 


kwa waislamu hiyo inahesabika kama talaka moja kitendo cha mwanaume kutamka "uhusiano wetu umeisha" tu.


mtazamo wangu

katika biblia kuna sheria inasema "wanaume wapendeni wake zenu na wanawake watiini waume zenu" hili halina short cut.

kiukweli haiwezekani kwa mwanaume masaa mawili mtoto analia tu halafu asijiguse, lazima kuna kitu hapa kimefichwa kimetokea kabla ya mtoto Kuanza kulia, vinginevyo huyo mume ni kichaa.... ila pia pamoja na hayo angalia kauli iliyotumika muone imekaaje, "kwanini huna huruma kiasi hicho?"

kwa mwanamke "mtiifu" kauli nyepesi tu hapa ingemshughulisha huyo mwanaume mfano "mume wangu naomba nisaidie simuelewi mwanetu" simple! wallahi angekupiga hapa angekuwa chizi... lakini jiangalie umemfanya nini kabla halafu angalia na kauli uliyotumia.

siafiki hata kidogo suala la kudundana, ila sasa kuna wanaume hawawezi kujizuia kupiga, keshakuwa mumeo ushamjua, tumia maneno malaini hayo mengine yatajiseti yenyewe tu.

Mtii mumeo, atabadilika na atafanya kila kitu na utaona utamu wa ndoa In sha Allah.
 
Omba tuu haina shida. Mana ndo utashi wako ulipoishia nyie ndio mnaoingia kwenye ndoa mkengemkenge kwa kuhadithiwa na mashoga zenu, upande mmoja wa shilingi bila na ww kuongeza zako kujua upande mwingine. Nb ndoa ni zaidi shahada ya uzamivu au masters.
 
dah kiukweli hii taasisi ya ndoa inahitaji misuli ya imani....bila Mungu haiendi
 
mtoto alilia kwa masaa 4 how and why ??? wewe ulikuwa wapi
unaposema anaangalia unamaanisha nini????
kama unahudumia wanao kwa asilomia 90 huyu baba yao wa .nini au dushe tamu maana huna haja nae
sepa akaoe dada zake... maana anahisi wao ndo wamaana na wakat hata vitabu vitakatifu vinasema utaacha baba na mamako umfate mke au mumeo..... sasa yeye kwenye kundi hili hayupo chapa kandambili maee jipange
 
Utoto unahusika hapa mkae pamoja myazungumze na muweke bayana jinsi ya kutumia kipato chenu kwa manufaa ya familia. Nahisi mke umeongelea upande mmoja hata mwenzio anaona mapungufu yako. Sioni tatizo kwenye ndoa yenu zaidi ya utoto na mke kukurupuka badala ya ku solve matatizo ya ndani kwa busara
 


umejuaje ana dada?
 
Ushauri wa JF huwa unachanganya Sana,wengine wanasema achana,wengine vumilia,Yale yale kati ya mvua na jua kipi bora....ushauri wa JF sometimes unachanganya mno.
 
Pole sana kwa masaibu yanayokukuta, mazingira yanaonyesha mume wako ana moyo mgumu, moyo baridi na kifuani amejaa visasi. Kuna uwezekano mkubwa yanayotokea na kuongea ni madogo kuliko chuki na uovu uliojaa kifuani pake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…