nyumba kubwa
JF-Expert Member
- Oct 8, 2010
- 10,309
- 8,398
so the extra marrital affairs are due to feminism??? have the occurences of extramarital affairs actually increased or have people (especially women) just gotten the power to not put up with it anymore??
watu wanaona sifa kusema "ndoa ya miaka 50". doesnt matter huyo mwanamke alikuwa anachezea kipigo miaka 50. doesnt matter mumewe alikuwa **** nje miaka 50. all it matters ni ndoa imekaa miaka 50.
Mwenyewe mama yangu anaenda miaka 35 ya ndoa. maisha yangu yote nimeshuhudia mama akipigwa na kugombezwa na baba. amd shes a very polite woman by nature. ni kwamba hata simuonei huruma tena whether anapigwa au lah kwasababu nishamwambia hastahili yote hayo. excuse ya kuwa yuko pale kwaajili ya watoto is invalid.
miaka yoote kuinamisha kichwa tuu...kunyamaza tuu....kuwa mpole tuu...hudumia mwanaume tuu...mwanaume asiye na shukrani....halafu mbele za watu utafkiri sio wenyewe. NILIKUWA NAKEREKA.
sasa dawa yao ni kusubiri wazeeke, tuwatengahishe.
BULLSHIT. Me nasema, na zivunjwe tu, manake hakuna namna nyingine.
alipigwa kofi na kuambiwa uhusiano umeisha. sasa sijui unataka wazungumzie nini.
kwanza hilo janaume liombe msamaha kwa kumpiga huyu mama.
sikunyingine cloudear ukipigwa uanzishe zengwe hapo majirani wasikie/watokee ili iwe rahisi kutoa taarifa polisi.
HAKUNA KUVUMILIA UPIGAJI WANAWAKE.
msome mleta mada vizuri
kuna mahali anasema yeye ndio ana makosa story kama haijakamilika
sote tu waajiriwa serikalini, akipata salary anakuwa kimya nikimwomc mahitaj atazunguka hata wiki nzima, amekuwa kama msaidiz pind ninapoishiwa, ahudumii kama baba, nishampelekaga had ustawi habadiriki
copy to Apologise lady kwa ushauri
alipigwa kofi na kuambiwa uhusiano umeisha. sasa sijui unataka wazungumzie nini.
kwanza hilo janaume liombe msamaha kwa kumpiga huyu mama.
sikunyingine cloudear ukipigwa uanzishe zengwe hapo majirani wasikie/watokee ili iwe rahisi kutoa taarifa polisi.
HAKUNA KUVUMILIA UPIGAJI WANAWAKE.
so the extra marrital affairs are due to feminism??? have the occurences of extramarital affairs actually increased or have people (especially women) just gotten the power to not put up with it anymore??
watu wanaona sifa kusema "ndoa ya miaka 50". doesnt matter huyo mwanamke alikuwa anachezea kipigo miaka 50. doesnt matter mumewe alikuwa **** nje miaka 50. all it matters ni ndoa imekaa miaka 50.
Mwenyewe mama yangu anaenda miaka 35 ya ndoa. maisha yangu yote nimeshuhudia mama akipigwa na kugombezwa na baba. amd shes a very polite woman by nature. ni kwamba hata simuonei huruma tena whether anapigwa au lah kwasababu nishamwambia hastahili yote hayo. excuse ya kuwa yuko pale kwaajili ya watoto is invalid.
miaka yoote kuinamisha kichwa tuu...kunyamaza tuu....kuwa mpole tuu...hudumia mwanaume tuu...mwanaume asiye na shukrani....halafu mbele za watu utafkiri sio wenyewe. NILIKUWA NAKEREKA.
sasa dawa yao ni kusubiri wazeeke, tuwatengahishe.
BULLSHIT. Me nasema, na zivunjwe tu, manake hakuna namna nyingine.
Mmmh!!!!! haya mambo makubwa kwangu, mimi under 18, naogopa hata kuyasoma.
By Apologise lady
Uliona wapi mwanaume anaandika, richie ndio jina langu, sindio hawa wa yo! yo!. utoto utoto. Kwanza yeye mwanafunzi hata kitanda hana anakuja kutafuta mwanamke si viroja hivi?
PM Kwangu utamkuta mme wangu, we jipeleke huko
Apologise lady ujue unanichanganya!! Kule una mume, huku under 18,
Ngoja nije pm tuyamalize kiutu uzima
Tatizo kubwa nilionalo hapo ni unyumba. Kama hakupi ni tatizo kubwa sana na unaweza kudai talaka.
Akikupa ipasavyo hata talaka utaisahau na makofi utayaonea raha.
Fanyia kazi hilo kwanza kama mwanamke.