Niombe Talaka?

Niombe Talaka?

cloudear

Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
76
Reaction score
59
Hi,

Iam a mother of 2kids, usiku mmoja mtoto wetu mchanga alilia sana 4 2hrs, ajabu babae kaangalia 2, nikamuuliza kwanini hana huruma kiasi hicho? Mwanae analia hajali anamaanisha nini? hadi mtoto mkubwa(3yrs) aliamka, alinyanyuka kitandani, akaninyakua mtoto akamweka kitandani kisha akanizaba makofi nikaweweseka, nakulia sana, kwahasira nikamwambia naweza nikakuachia mtoto kitandani nikalale sebuleni.

Akaniambia ondoka uone kama sitaweza, roho iliniuma maana mtoto anahitaji msaada yeye analeta ugomvi, tukajibishana usiku huo, sasa ni 2weeks hakuna mawasiliano, nimemwomba anisamehe uenda mi ndio mkosaji, kaniambia tuendelee kulea tu watoto ila mahusiano yetu basi, nikishindwa niondoke.

Sio mlevi nimkorofi, mbinafsi nambishi, kibaya zaidi watoto nahudumia mwenyewe 90% yeye anahudumia nduguze tu, nikilalamika anadai nawachukia nduguze, nifanyeje? Nishamshitakia sana kwa Wakwe kwamambo mengi hadi naona nawakera siishi kumlalamikia kijana wao, Wakwe wanashauri nimvumilie tu eti nimkorofi, je nikae tu kama house keeper?
 
Pole cloudear!unahudumia mwenyewe familia ukimaanisha hanunui chakula nyumbani wala kitu chochote hakusaidiii!je anauwezo wa kufanya hivyo meaning anakipato ila hataki tu au hana kipato
 
Pole cloudear!unahudumia mwenyewe familia ukimaanisha hanunui chakula nyumbani wala kitu chochote hakusaidiii!je anauwezo wa kufanya hivyo meaning anakipato ila hataki tu au hana kipato

Sote tu waajiriwa serikalini, akipata salary anakuwa kimya nikimwomc mahitaj atazunguka hata wiki nzima, amekuwa kama msaidiz pind ninapoishiwa, ahudumii kama baba, nishampelekaga had ustawi habadiriki
 
Ndoa ni maelewano, kupendana na kujaliana, kama hivyo havipo ndoa inakuwa haina maana. Kama 90 percent watoto unahudumia wewe, unafanya nini kwenye hiyo ndoa? Huwezi kushindwa kufanya hivyo ukiondoka, fanya uondoke.
 
Mpaka mnafunga ndoa hukuona yote hayo
na mwenyewe ashakwambia uondoke unahtaj nin tena?
 
Yeye kuhudumia watoto hakufanyii favor, NI WAJIBU WAKE. Yani ufanye maamuzi ya fasta kumshurutisha atoe hizo hela. Huko Ustawi ulisaidiwaje? kama itakubidi uende mahakamani, UENDE.

hizo hela unazotoa pekeyako sasahivi zingeweza kukusaidia kuendelea na maisha yako. mtu ameshakwambia uhusiano umeisha. hajapata mwingine huyo? huna kazi hapo. au unaogopa maneno ya watu ya "ameachika"? atakayeachika hapo ni yeye ukiondoka hapo.

bora hata kama uhusiano ndani umeisha lakini anahudumia watoto, ungejishikisha hapo.

mtu hata anakupiga makofi?? na wewe ndo umemuomba msamaha?? watakuja kukwambia mke huivunja ndo yake kwa mikono yake. watakwambia hukuvumilia vya kutosha. HAKUNAA.. ni mfumo kandamizaji. hustahili yote hayo....

najua ukifikiria kuanza maisha yako pekeyako na watoto wako unaogopa. sasa ukaeee ufikirie mwenyewe utafanyaje.
 
Yazungumzeni kwanza

alipigwa kofi na kuambiwa uhusiano umeisha. sasa sijui unataka wazungumzie nini.

kwanza hilo janaume liombe msamaha kwa kumpiga huyu mama.

sikunyingine cloudear ukipigwa uanzishe zengwe hapo majirani wasikie/watokee ili iwe rahisi kutoa taarifa polisi.

HAKUNA KUVUMILIA UPIGAJI WANAWAKE.
 
Last edited by a moderator:
Tatizo kubwa nilionalo hapo ni unyumba. Kama hakupi ni tatizo kubwa sana na unaweza kudai talaka.

Akikupa ipasavyo hata talaka utaisahau na makofi utayaonea raha.

Fanyia kazi hilo kwanza kama mwanamke.
 
Back
Top Bottom