Nioe yupi kati ya hawa

Nioe yupi kati ya hawa

Habari ndugu, nashukuru sana kwakuonesha ujasiri wa kuleta hii mada. Bila shaka utapata mawazo mawili matatu hapa jamvini.

Nimevutiwa sana na swala lako maana lipo complex sana lakini linaweza kutatuliwa kwakutumia sayansi ya hesabu. Kwenye hii case nimeamua kutumia "Prisoner dilema theory" maana inaweza kutusaidia kufahamu mahusiano yenye afya au mahusiano ambayo wewe na mmoja wa msichana mtakuwa na furaha.
Baada ya kusoma swala lako, nimegunduwa vitu vitatu vya msingi kama ifuatavyo
a) Dini
b) Furaha ndani ya ndoa
c) Mtoto

Kila kitu hapo juu nimekipa maksi au weight ya 1

View attachment 939851

Ushauri
Kama unavyo ona hapo juu unatakiwa kuoa msichana number 2 ambaye Kabila lake ni muiraq na dini mkristo. Hii ni kwasababu number 2 imefanikiwa kupata maksi au points za juu 3/3 kuliko sehemu yoyote ile kwenye chart.

Samahani kiswahili changu hakipo vizuri sana nitaomba radhi kama nitakuwa nimekosea kuandika sehemu yeyote.

Asanteni.

Mkuu source ya theory hiyo hujaiweka
 
Ni nani kati yao ukikaa nae moyo wako una amani na hata akicheua wakati mnakula unaona ni jambo la kawaida? Huyo ndiyo wa kumuoa.
 
Ni nani kati yao ukikaa nae moyo wako una amani na hata akicheua wakati mnakula unaona ni jambo la kawaida? Huyo ndiyo wa kumuoa.
Huyo namba 2 aswaa ndio nakili kumpenda kutoka moyoni ila tatizo ni kama nilivyoelezea hapo sitotaka nifanye maamuzi alafu nije nijutie baadae unajua mapenzi yanauma
 
Huyo namba 2 aswaa ndio nakili kumpenda kutoka moyoni ila tatizo ni kama nilivyoelezea hapo sitotaka nifanye maamuzi alafu nije nijutie baadae unajua mapenzi yanauma
Kuna mtu aliniambia “if you love her then marry her if you are making a mistake you are not the first one”.
 
Back
Top Bottom