Nioe yupi kati ya hawa

Nioe yupi kati ya hawa

Kwani wairaq huwa hawaolewi mkuu mbona nilishakwenda ukweni nimekuta wapo wengi tu na ndoa zao ina maana waliooa hao wameolea na majirani mkuu?
changanganya na zako...! fanya maamuzi sahihi, mwisho was iku usitegemee utapata majibu sahihi hapa
 
wape mtihani / jaribio lolote mshindi ndo atakuwa wife ila no 1 kama umekaa nae tangu secondary na kama hasumbui we oa ila dini kila mtu abaki na yake coz mkuu wa wilaya yupo, no 2&3 wote wapo vizuri ila no 2 ni mzuri zaidi
 
wape mtihani / jaribio lolote mshindi ndo atakuwa wife ila no 1 kama umekaa nae tangu secondary na kama hasumbui we oa ila dini kila mtu abaki na yake coz mkuu wa wilaya yupo, no 2&3 wote wapo vizuri ila no 2 ni mzuri zaidi
mkuu bwana kama umemuona vile?
 
Wakuu ushauri wenu kwa kijana wenu Zero IQ nategemea kufanya mpango mwakani nivute jiko lakini tatizo ni kwamba mpaka sasa sijui nimuoe yupi kati ya hawa?

Niko na mahusiano na wasichana 3 ambao ni serious relation ship na kila mmoja anajua lazima nitamuoa yeye sababu ya yale tunayoyafanya,

Nimekuja kwenu wakuu kupata ushauri nitawaelezea kila mmoja kwa vile ninavyowajua mimi kwa ule muda tulio kwenye mahusiano,


1:Huyu wa kwanza nilikutana nae morogoro nilianza nae mahusiano tangu niko secondary mimi form 3 na yeye form 2
Kabila ni mpogoro ,dini ni muislamu;

Tatizo la huyu demu ni dini mzee wake ni shekhe na kila nikijaribu kumshawishi abadili dini ili nimuoe swala likifika kwa mzee wake ni tatizo wanataka mimi ndio niwe muislamu ili nivute mtoto wao na hilo swala mimi siwezi ila dogo hana tatizo tatizo ni mzee wake,

2: Huyu nilikutana nae wakati niko chuo.
Kabila ni muiraq,dini mkristo,

Huyu demu nilizaa nae mtoto wa kiume tatizo la huyu demu ni kwamba nikiwa nae she is in love with me nitaona mapenzi ya dhati ambayo sijawahi ona,atanicare kwa kila namna lakini akiondoka mawasiliano huwa ni ya kawaida sana na nilishawahi kuja na uzi wake humu baada ya kukuta sms kwenye simu yangu kutoka kwa mwanamke mwingine ndio ameonyesha kubadilika now days ananitafuta kila mara.

3:Huyu nilikutana nae hapo mtaani tunapoishi,

Kabila ni mchaga,dini mkristo,ni mwanamke ambae anaonekana ana vision ya maisha ila tatizo ni kwamba amenipita karibia miaka 5,
Hajawahi nionyesha kiburi au kunikela japo kwenye kucare siyo sana ni mtu anaewaza sana kuhusu future yetu.


Nipo matatani na sijui nioe yupi wakuu kila siku nikiamka naamka na wazo jipya nioe huyu kesho pia nioe huyu nashindwa kuwa na msimamo wa kweli yupi ndio nimuoe.


Habari ndugu, nashukuru sana kwakuonesha ujasiri wa kuleta hii mada. Bila shaka utapata mawazo mawili matatu hapa jamvini.

Nimevutiwa sana na swala lako maana lipo complex sana lakini linaweza kutatuliwa kwakutumia sayansi ya hesabu. Kwenye hii case nimeamua kutumia "Prisoner dilema theory" maana inaweza kutusaidia kufahamu mahusiano yenye afya au mahusiano ambayo wewe na mmoja wa msichana mtakuwa na furaha.
Baada ya kusoma swala lako, nimegunduwa vitu vitatu vya msingi kama ifuatavyo
a) Dini
b) Furaha ndani ya ndoa
c) Mtoto

Kila kitu hapo juu nimekipa maksi au weight ya 1

1542668514222.png


Ushauri
Kama unavyo ona hapo juu unatakiwa kuoa msichana number 2 ambaye Kabila lake ni muiraq na dini mkristo. Hii ni kwasababu number 2 imefanikiwa kupata maksi au points za juu 3/3 kuliko sehemu yoyote ile kwenye chart.

Samahani kiswahili changu hakipo vizuri sana nitaomba radhi kama nitakuwa nimekosea kuandika sehemu yeyote.

Asanteni.
 
Habari ndugu, nashukuru sana kwakuonesha ujasiri wa kuleta hii mada. Bila shaka utapata mawazo mawili matatu hapa jamvini.

Nimevutiwa sana na swala lako maana lipo complex sana lakini linaweza kutatuliwa kwakutumia sayansi ya hesabu. Kwenye hii case nimeamua kutumia "Prisoner dilema theory" maana inaweza kutusaidia kufahamu mahusiano yenye afya au mahusiano ambayo wewe na mmoja wa msichana mtakuwa na furaha.
Baada ya kusoma swala lako, nimegunduwa vitu vitatu vya msingi kama ifuatavyo
a) Dini
b) Furaha ndani ya ndoa
c) Mtoto

Kila kitu hapo juu nimekipa maksi au weight ya 1

View attachment 939851

Ushauri
Kama unavyo ona hapo juu unatakiwa kuoa msichana number 2 ambaye Kabila lake ni muiraq na dini mkristo. Hii ni kwasababu number 2 imefanikiwa kupata maksi au points za juu 3/3 kuliko sehemu yoyote ile kwenye chart.

Samahani kiswahili changu hakipo vizuri sana nitaomba radhi kama nitakuwa nimekosea kuandika sehemu yeyote.

Asanteni.
Kwanza niseme Asante kwa ushauri wako mkuu wenye uchambuzi wa kina,
Pili nimeusoma na kuelewa vyema,nimetafakari pia na baadhi ya ushauri niliopewa na wengine nafikiri namba 2 ndio mtu sahihi kwangu natumai kuufanyia kazi ushauri huu bila kikwazo,

Ninachoshukuru kwa sasa ni kwamba nimetua mzigo mzito uliokuwa moyoni mwangu wa kufikiri yupi ni mtu sahihi kwangu hakika JF is the place where we dare to talk openly
 
Of course mkuu kinachofanya nisiwe namuamini sana ni kwa sababu ya umbali tu ila akiwa karibu ni wife material atafanya kila kitu kwa wakati,atanionyesha mapenzi ya dhati yaani sijui niseme nini ila distance ni kikwazo sometime inafanya nisimuamini
Ukimuoa tatizo la umbali litafutika kwa kuwa mtaishi pamoja.
 
Back
Top Bottom