Nioe Kabila gani?

bht dada, kwani nimekosea kuuliza? unajua karne wazee wanasema haiondoi asili, ila hapa nimeanza kujifunza sasa

mie ni mmoja wa wanaokwazwa sana na hili swali la kabila gani, frankly speaking ila vizuri ujue mke mwema kwako ni yupi.....(na si kabila gani)
usijali my dear kila siku tunajifunza na nimefurahi kuona mwitikio wako kwa majibu unayopata.
goodluck ICU
 
Usijali ICU, hapa ni kutenda miujiza kwa watu blind kama wewe. Hesabu tatizo lako limekwisha. Oa mhaya, mzanaki, mchaga au kutoka makabila yote matatu. Zingatia ushauri huu.
Nitashukuru huu upofu ukinitoka ila kuna member kanitumia PM kaniambia cha muhimu kuliko yote ni kusali na kumwomba MUNGU anipe mke mwema kwani vinginevyo nitachagua makabila hadi nitazeeka. Asanteni
 
mie ni mmoja wa wanaokwazwa sana na hili swali la kabila gani, frankly speaking ila vizuri ujue mke mwema kwako ni yupi.....(na si kabila gani)
usijali my dear kila siku tunajifunza na nimefurahi kuona mwitikio wako kwa majibu unayopata.
goodluck ICU
Samahani bht kwa kukwazika, kusema kweli haikuwa nia yangu kuwakwaza wale wasiopenda kuzungumzia makabila. Lengo langu ni kuondoa wasiwasi niliokuwa nausikia kwenye suala la kuoa kutoka katika baadhi ya makabila
 
Samahani bht kwa kukwazika, kusema kweli haikuwa nia yangu kuwakwaza wale wasiopenda kuzungumzia makabila. Lengo langu ni kuondoa wasiwasi niliokuwa nausikia kwenye suala la kuoa kutoka katika baadhi ya makabila

Achana na hayo mawazo mgando bana, kabila halifanyi mke au mume kuwa mwema...
Mwombe Mungu akuongoze upate mwenzi mwema maana nyakati tuishimo ni tata sana ndugu yangu!!!
 
KM, nataka mke mwema

Binafsi nakushauri uoe yeyote tu mradi mnapendana kwa dhati(unampenda naye akupenda),pia mwenye tabia njema(maana uzuri wa mwanamke ni tabia bana si sura:):)(hata kwa mwanaume pia uzuri wake ni tabia)......)......Ukishindwa kabisa njoo Sukumaland utampata huyo mke mwema(kama bado utakuwa na kasumba ya kuangalia kabila)....
 
Binafsi nakushauri uoe yeyote tu mradi mnapendana kwa dhati(unampenda naye akupenda),pia mwenye tabia njema(maana uzuri wa mwanamke ni tabia bana si sura:):)(hata kwa mwanaume pia uzuri wake ni tabia)......)......Ukishindwa kabisa njoo Sukumaland utampata huyo mke mwema(kama bado utakuwa na kasumba ya kuangalia kabila)....

hubby we mjanja sana huh!!!! haya bana...
 
Achana na hayo mawazo mgando bana, kabila halifanyi mke au mume kuwa mwema...
Mwombe Mungu akuongoze upate mwenzi mwema maana nyakati tuishimo ni tata sana ndugu yangu!!!
Asante bht, nimeamini kuwa MUNGU atafanya
real yalikuwa mawazo mgando
 
huu ndio wasiwasi niliokuwa nao kabla ya kuanzisha mada hii

acahana na hayo mawazo ya 1947.....hao wanawake wa kizaramo wapo wengi tu ni wake wema na kazi wanachapa kama kawaida......sema tu samaki mmoja akioza basi wote ila kwangu mimi huyo alooza namtupa ili wengine waendelee kuwa wazima
 
hubby we mjanja sana huh!!!! haya bana...

Hahaaaaaaaaa,ndo maana yake mama,kama lengo lake ni kutafuta kabila(japo namshauri amuoe mtu wa kabila lolote lile ambaye wanapendana kwa dhati na mwenye tabia njema) basi aje Usukumani atapata mke mwema hasa,hatajuta......:):):)
 
Nawashukuru sana wadau wote waliochangia mada hii. Kwa muda mfupi sana nimeelewa kuwa nilikuwa nafikiria kwa jinsi ambayo haikuwa sahihi kuhusu kuoa na masuala ya makabila. Lakini niseme wazi tu kuwa wasiwasi huu ulisababishwa na stori pamoja na maisha mengine ya mtaani ambayo unaambiwa au unaona ndoa fulani ikiwa na matatizo na ukiuliza undani unaambiwa kuwa kutokana na kuoa au kuolewa na kabila lile.

Siwezi kushukuru kila mmoja kwa majina ila niseme ASANTENI kwa wote, kuna wale waliokuwa wakali kutokana na mimi kuanzisha mada yenye kuzungumzia ukabila na ikaonekana kama vile ina mrengo wa kubagua makabila fulani. Ninachoweza kusema ni SAMAHANINI wote kwa ujumla wenu.

Siwezi kuahidi chochote kwa sasa kwani kuna mwanazuoni mmoja kwa jina la Jean Jacques Rousseau(1712 - 1778) aliwahi kuandika kuwa "Mtu anayechelewa kutoa ahadi ni mwaminifu sana katika utekelezaji” kwahiyo ninachoweza kusema hili la woga wa ukabila nitaanza kulifuta akilini mwangu na kuangalia katika wema na tabia ya mwenzi ninayemfikiria lakini kikubwa ni upendo baina yetu wawili

Lakini kipekee niwashukuru wale walionitumia PM wakinishauri kuwa jambo hili la kumpata mke ni suala la kusali na kumwomba MUNGU kwa kupiga magoti na kufunga. Asanteni sana na mbarikiwe nyote. Amen
 
HEBU CHEKA KIDOGO UNAYETAFUTA MCHUMBA :):)

Father: I want you to marry a girl of my choice.
Son: "I will choose my own bride!"
Father: "But, the girl is Bill Gates's daughter."
Son: "Well, in that case...OK"

Next Day

Father approaches Bill Gates.
Father: "I have a husband for your daughter."
Bill Gates: "But, my daughter is too young to marry!"
Father: "But, this young man is a Vice-President of the World Bank."
Bill Gates: "Ah, in that case... OK"

Finally Father goes to see the President of the World Bank.

Father: "I have a young man to be recommended as a vice-president. "
President: "But, I already have more Vice- Presidents than I need!"
Father: "But, this young man is Bill Gates's son-in-law."
President: "Ah, in that case... OK"


Moral: Even if you have nothing, you can get anything……………………..
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom