Mabinti wanakera sana, am very sorry for ladies!
kwa sasa nimefikisha wasichana kama wanne hivi kuwachumbia na kama kawaida kuna swali wananiuliza "Una kazi"? wakati huo huo kati ya hao wanne, ni mmoja tu ndiye ana kazi but the rest ni jobless, sasa wa kwanza nilimjibu kuwa "sina kazi" nikamuuliza "wewe una kazi"? akasema hana khaaa!! nilijisikia vibaya sana kwa swali lake hilo, akasema kama huna kazi "nipotezee" kumbuka wakati huo ki-uhalisia mimi nina kazi na nimeajiriwa! wa pili hivo hivo, wa tatu hivo hivo ila yeye nikamwambia kuwa mimi ni mmachinga tu na nilikuwa nimevaa hovyo hovyo, akasema "sipo tayari" ss wa nne yeye akaniuliza una kazi gani? nikamwambia mimi ni "mkulima tu" nalima mboga mboga nauza soko kuu hapa kariakoo, akasema Mhh! haya bwana nidanganye tu, naye siku hiyo nilikuwa nimevaa hovyo hovyo sana, akasema yeye haangalii "kazi ya mtu" na yupo tayari. kweli kabisa ndo mchumba wangu na mwezi ujao tunaoana.
My take: wasichana muwe makini sana.
Mh!. Kwa hiyo unataka kuolewa na vitu viwili kwa pamoja, unahitaji mwanaume na at the same time you need his job. Kweli kwa mtindo huo mtaishia kupigwa mimba tu na hakuna kuolewa
Mabinti wanakera sana, am very sorry for ladies!
kwa sasa nimefikisha wasichana kama wanne hivi kuwachumbia na kama kawaida kuna swali wananiuliza "Una kazi"? wakati huo huo kati ya hao wanne, ni mmoja tu ndiye ana kazi but the rest ni jobless, sasa wa kwanza nilimjibu kuwa "sina kazi" nikamuuliza "wewe una kazi"? akasema hana khaaa!! nilijisikia vibaya sana kwa swali lake hilo, akasema kama huna kazi "nipotezee" kumbuka wakati huo ki-uhalisia mimi nina kazi na nimeajiriwa! wa pili hivo hivo, wa tatu hivo hivo ila yeye nikamwambia kuwa mimi ni mmachinga tu na nilikuwa nimevaa hovyo hovyo, akasema "sipo tayari" ss wa nne yeye akaniuliza una kazi gani? nikamwambia mimi ni "mkulima tu" nalima mboga mboga nauza soko kuu hapa kariakoo, akasema Mhh! haya bwana nidanganye tu, naye siku hiyo nilikuwa nimevaa hovyo hovyo sana, akasema yeye haangalii "kazi ya mtu" na yupo tayari. kweli kabisa ndo mchumba wangu na mwezi ujao tunaoana.
My take: wasichana muwe makini sana.
Na kama yeye mwenyewe anajua anavaa ovyo ovyo kwa watu wanaomuona anaonekanaje? inawezekana na aliyempata nae ni ovyo ovyoLabda ni kwa kuwa unapenda kuvaa hovyo hovyo ndiyo maana unaulizwa maswali ya hovyo hovyo.....
maliza sala zote kwanza
nikikuona nahama kanisa.
Inamaana ulikua unawaona siku hiyo hiyo na kuwatangazia uchumba... wewe ni noma!!!!!!!!!!!!