Piga hizi namba kama sikosei ni...*#*#4636#*#*Me nina swali lingine,nikitaka kujua simu used imetumika mda gani nafanyaje,kuna app ya kuangalia au?
Kwa budget ya 300 unapata s5 used in good condition.. make sure ina 4g...Nimesema note na s series kwa ujumla sio lazima ziwe za mwaka huu kwani si kuna s3,s4 na kuendelea. Pia si kuna note 1,note 2, note 3 na kuendelea au.
Nauli yake ngapi hii...
S6 edge bei gani mkuuMaelezo zaid njoo pm
Mkuu nipatie 35000 tu lakini pia exchange allowed hasa kwa iphone 5s iliyo katika hali nzuriMia ngapi hiyo mkuu?
zipo kibao mkuu, almost low end zote zinatoka battery ipo hii
LG X5 - Full phone specifications
na hata flagship zao za sasa battery zinatoka kama vile lg g5.
ila zote hizi haziishindi lg g2 kwa value.
hapana s5 zote ni za 2014, ukiiona leo ujue ni ya 2014, inaweza kuwa used au imekaa sana dukani
kwa selfie desire eye ni nzuri zaidi, ila kwa simu nzuri zaidi kwenye aspect zote ulizotaja Note 4 ni nzuri zaidi. ila pia itategemea na bei utakayopata maana almost zote zinafanana specs ukipata moja ina bei rahisi sana chukua hioMKuu kuna kuna hizi simu nampango wa kubadiri simu sasa hapa ipi ni nzuri katika upande wa camera (Selfie & back),ram,battery,display
S5,iphone 5s,lg 4,note 4,htc desire eye na note 4 edge napenda kucheza games,speed ya net,camera maan najua upande wa battery smartphone kawaida kutokaa na charge (hpo kuna android na ios ila nishauri tu kulingana na hivo vigezo mkuu).ahsanteh
Chief hiyo namba mbona nikituma msg inasema failedS na Note zikiwa mpya(za mwaka huu) bei zake huzidi milioni 1,
J series ndio unapata kwa bei hio na budget yako ni vyema ukomae upate J5 kama alivyosema mdau hapo juu. na bei elekezi ni hio 350,000
nenda maeneo ya aggrey zipo nyingi sana, na hakikisha ukitaka kununua unatuma imei yake kwenda 15685 ili kuhakiki kama ina warranty ya Tanzania
ila j5 ina 8gb tu
tuma mfumo huuChief hiyo namba mbona nikituma msg inasema failed
Bado ina fail si ni reg*2627828q89383# to 15685tuma mfumo huu
REG*IMEI#
badili neno IMEI na imei yako ya simu
hio mbona kama ni serial na sio imeiBado ina fail si ni reg*2627828q89383# to 15685
Imei ni mfano sio halisi
Kwanini iwe note 4 na si note 4 edge mkuu?Chief hiyo namba mbona nikituma msg inasema failed
edge ya note 4 haina advantage kwa note 4 ya kawaida labda tu hio display iliopinda. tofauti na edge kama ya s7, wakati bei inakuwa juuKwanini iwe note 4 na si note 4 edge mkuu?
Chief,I plan kununua Htc phone,naomba nishauri ipi nzuri na reasonable pricehaina memory card, battery yake haitoki na pia ni simu ya kizamani kidogo, ukitoa mambo hayo ni simu nzuri nzana specs zake ni almost kama s5 na ukiipata chini ya laki 3 hakuna simu yoyote inayoweza kushindana nayo kwenye specs kwa bei hio
edge ya note 4 haina advantage kwa note 4 ya kawaida labda tu hio display iliopinda. tofauti na edge kama ya s7, wakati bei inakuwa juu