Amani ni tunu yetu basi tuilinde kwa wivu
Mkubwa sana
Epuka mambo yote ambayo yatakusababishia
🤣🤣🤣naishiwa pawa na energyajabu kabisa yaani si bora hiyo million 2.6 akajenge vyumba viwili simple awe na kwake.! sema hao ndio wale wananunua iphone ya million 3 alafu bado anakaa kwa wazazi au kapanga kigheto chake uswahilini..mtoa mada ana bajeti 150,000 alafu eti analetewa pigo za million 2.6.! kwenye chumba kimoja cha kupanga.!
Kwamba bora hiyo Tsh 2.6M akajenge vyumba viwili awe na kwake?ajabu kabisa yaani si bora hiyo million 2.6 akajenge vyumba viwili simple awe na kwake.! sema hao ndio wale wananunua iphone ya million 3 alafu bado anakaa kwa wazazi au kapanga kigheto chake uswahilini..mtoa mada ana bajeti 150,000 alafu eti analetewa pigo za million 2.6.! kwenye chumba kimoja cha kupanga.!
Funga panga boi.Wakuu nina budget ya 150000, baada ya feni yangu niliyokuwa natumia kuharibika, nikapata idea ya mini A.C.
kuna baadhi ya A.C naona zinauzwa, yaani zile A.C ndogo za kusimama.
Naomba mtu yeyote anayeitumia aniambie kama kweli inafaa. je, inaweza kumudu hili joto la Dar, au ninunue tu feni kubwa ya 150K?
Nimepanga single room.
naomba mwenye uwelewa wake anisaidie
Air Cooler si ndo kirefu cha neno A.CWe jamaa AC sio jambo la mchezo mchezo uliza tuliowahi kutumia kwa siku nonstop inakula umeme hasi 10,000
Ac ni jini la umeme unatakiwa uwe na hela sio yamawazo, cha pili 150000 huwez pata ac zile ni aircooler wanaweka mabarafu sio ac na zile ac za kweka chini ni more zan 500k hapo ni used mpya hadi 8000 btu ndogo
150 achana na ndoto za ac
Upo ndugu yangu!Nunua feni
Perfect Answer,Mkuu nunua fan tu. Muda wa AC ukifika utanunua bila kuuliza hapa JF.
Sina undugu na machawaUpo ndugu yangu!
Fungulia uzi wake mkuu, usiharibu uzi wa mwenzioAmani ni tunu yetu basi tuilinde kwa wivu
Mkubwa sana
Epuka mambo yote ambayo yatakusababishia matatizo
Huu ni ujumbe wa amani unabandikwa uzi wowote uleFungulia uzi wake mkuu, usiharibu uzi wa mwenzio
Nenda kawahubirie familia ya shekhe Sharifu MajiniHuu ni ujumbe wa amani unabandikwa uzi wowote ule
mkuu unakuwaga na michango makini iliyoenda shule sana humu jamvini.Mkuu nunua fan tu. Muda wa AC ukifika utanunua bila kuuliza hapa JF.
Mnatuchanganya sasa kwani AC maana yake nini?Air Cooler si ndo kirefu cha neno A.C
mimi siulizii Air conditioner, naulizia Air Cooler,
ndo nauliza, air cooler inafaa kwenye chumba kimoja cha kupanga?, na hiyo budget yangu ya 150k, naweza kupata aircooler?
mimi si mchawaii mtu yeyote bali ni winga mwenzako Kariakoo. Au Leo unanikana, ndugu yakoSina undugu na machawa
Kwanini usiubandike mkdn kwako ukiwa unapita tunausoma kwa nyuma..!!Huu ni ujumbe wa amani unabandikwa uzi wowote ule
Nataka nielewe ni kweli ?Hasa mkuu unataka kuwa comfortable alafu unawaza 10k kwa siku.Fanya kama umehonga savana mbili.
Asante mkuu , hili naenda nalo sambamba kabisa ! Ngoja nijipige pige kidogoNi kweli walikupanga mkuu.
Ac kwa matumizi ni kama freezer.
Kwa siku linachapa kuanzia unit2 hadi 3 likitetema mfululizo kutwa nzima.
Ukiliwasha, likapoza chumba ukalizima, laweza kutafuna unit 1 pekee.