Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,579
- 161,430
Naona zote ni sawa. mwenye kujua tofauti zake anijulishe.
uchawi wa kirumi, uchawi wa kiarabu na uchawi wa kiafrika.
mshana jr mzee wa chanting karibu sana
Naona zote ni sawa. mwenye kujua tofauti zake anijulishe.
uchawi wa kirumi, uchawi wa kiarabu na uchawi wa kiafrika.
mshana jr mzee wa chanting karibu sana
unafaa kukatwa kichwa tena mbele ya hadharaa..alshaabab nadhan post yako wameiona..
Ngojea niwakumbushie wakristo wenzangu huu ni mwezi wa maria wa kusali rozari, wito mkuu mwaka huu usalipo ni kuiombea amani nchi yetu na uchaguzi ujao
Ngojea niwakumbushie wakristo wenzangu huu ni mwezi wa maria wa kusali rozari, wito mkuu mwaka huu usalipo ni kuiombea amani nchi yetu na uchaguzi ujao
Naona zote ni sawa. mwenye kujua tofauti zake anijulishe.
uchawi wa kirumi, uchawi wa kiarabu na uchawi wa kiafrika.
mshana jr mzee wa chanting karibu sana
Usiingize mambo ya kidunia kwenye ukristo maana rozari haipo kibiblia