Alejandroz
JF-Expert Member
- Feb 14, 2017
- 327
- 376
Hello wana jf
Husika na kichwa cha uzi hapo juu
Kwa ninavyofahamu post graduate education/degree ni elimu zote anazochukua mtu baada ya shahada ya kwanza mfano ni Masters degree
Lakini nasikia kuna kozi maalumu za post graduate ambazo SIO masters
Pia naomba kufahamishwa tofafuti kati ya diploma ya kawaida na Post graduate diploma
Karibu unielimishe.
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app
Husika na kichwa cha uzi hapo juu
Kwa ninavyofahamu post graduate education/degree ni elimu zote anazochukua mtu baada ya shahada ya kwanza mfano ni Masters degree
Lakini nasikia kuna kozi maalumu za post graduate ambazo SIO masters
Pia naomba kufahamishwa tofafuti kati ya diploma ya kawaida na Post graduate diploma
Karibu unielimishe.
Sent from my TECNO PR651H using JamiiForums mobile app