Makes sense...Mi nadhani mazishi ni maandalizi (mpaka wakati wakufika makaburini) ya kumzika marehemu.
Maziko ni kitendo cha kuanza kuweka mwili makaburini.
poa tu, siwezi kukuziwia kuona au kuhisi hivo, nami niko huru kupendekeza jinsia niitakayo, na avatar niitakayo, sio?. lolMwali hii Avatar yako kama uko kwenye sanda tayari..afu nahisi u mwanaume????
Mi nadhani mazishi ni maandalizi (mpaka wakati wakufika makaburini) ya kumzika marehemu.
Maziko ni kitendo cha kuanza kuweka mwili makaburini.
wewe unaesema yanatumika ndivyo sivyo ndio utujuze "kinagaubaga"Naona haya maneno yanatumika ndivyo sivyo, wataalamu tujuzeni kinagaubaga........
Malizia na ufafanuzi waMi nadhani mazishi ni maandalizi (mpaka wakati wakufika makaburini) ya kumzika marehemu.
Maziko ni kitendo cha kuanza kuweka mwili makaburini.
usijali, nililipokea kama ulivolisema...Oh no Mwali, nimechokoza tu!!!
Duuuh mkuu mbona mwali ana sura bomba sana mwombe afungue uso kidogo,Mwali hii Avatar yako kama uko kwenye sanda tayari..afu nahisi u mwanaume????
Malizia na ufafanuzi wa
Msiba
kilioni
Matanga
Na je mtu ana kufa au anafariki
mi nadhani mazishi ni maandalizi (mpaka wakati wakufika makaburini) ya kumzika marehemu.
Maziko ni kitendo cha kuanza kuweka mwili makaburini.
Ni namna ya kujenga seentensi na utamu wa lugha.
"Nnakwenda mazikoni" makes more sense kuliko "nnakwenda mazishini".
Tulikuwa kwenye mazishi ya..." makes more sense kuliko "tulikuwa kwenye maziko ya..."
Utamu wa lugha.
nilijua lazima ufike hapa, habari yako lakini!