Nini tofauti kati ya habari (news) na information?

harakat

JF-Expert Member
Jul 4, 2011
2,888
1,347
Kumekua na mvutano mkubwa kati ya google na baadhi ya
serikali ikiwemo China kwamba huwa inatia taarifa zake bila
idhini sasa najiuliza tofauti hasa ya hivi vitu ni ipi?
 
[h=3]information

Noun:
  1. Facts provided or learned about something or someone.
  2. A formal criminal charge lodged with a court or magistrate by a prosecutor without the aid of a grand jury.
Synonyms: Intelligence - knowledge - notice - news - report - data

News

Noun:
  1. Newly received or noteworthy information, esp. about recent or important events.
  2. A broadcast or published report.

Synonyms: Tidings - information - report - message.
[/h]
 
Information ni taarifa yoyote, news ni sehemu ya information, News kama news ni kitu kipya, nitukio lilitokea muda usio mrefu, leo hii mtu anaweza akapata information ya kitu chochote Jf, hata iformation zinazowahusu watu, news ni kitu kipya ndo maana unapoona habari mpya JF ukiangalia idadi ya watu waliolog ni wengi!
 
HABAI=Ni neno linalotumika katika kiswahili kuoyesha uchache wa kitu. Yaani HABA : Agharabu HABAI hutumiwa zaidi na washairi katika kulinganisha vina. NEWS; Ni habari iliyokamilika na kufanyiwa uchunguzi. Au inayoaminika tayari kwa kulishwa wapashwaji
 
Back
Top Bottom