Nini suluhisho la hii simu, waungwana! Msaada tafadhali...

Nini suluhisho la hii simu, waungwana! Msaada tafadhali...

Quarteman

Senior Member
Joined
Jul 31, 2016
Posts
129
Reaction score
169
Simu inaonyesha mistari ya ajabu ajabu inayobadilika badilika, ni techno!
Je nini suluhisho lake wadau
1472320032376.jpg
1472320044942.jpg
1472320069865.jpg
 
Pale tecno katika ubora wake.

Mkuu kama sijakosea hii ni dalili kwamba kioo kinaandika wosia.muda au saa yoyote kinakufa.
Maskini!! Kwa hii ndio kanadeedi hivo! Btw techno naona techno ni miongoni mwa simu za hovyo hovyo tu!!
 
Watu ukiwaambia Tecno ni simu za wenye pesa wanakasirika na maneno makali juu.........ni muda mfupi inakufa na unanunua nyingine.......anyway pole mkuu jipange tu kununua nyungine!!!
 
Tecno simu za hovyo hovyo sawa lakini wengine zinatusaidia.

Hilo tatizo nahisi itakuwa display ina Danji.
Ni kweli mkuu zinasaidia sana!
So hivi display kuibadili inaweza cost bei gani..hii ni techno boom j8
 
Ukiizima na kuwasha inawaka vzr then ndo inakua hivyo? Or ukiirestart bado mchezo ule ule?
Ukiirestart inaendelea hivyo hivyo, halafu inakuwa ngumu kujua kama imezima kweli au lah! Maana ukibonyeza power botton screen inadisplay kama pic inavyoonesha! So ukiihold power botton kwa mda screen inaonyesha imejizima lakini ukibonyeza kitufe cha kupunguza au kuongeza sauti inadisplay hiyo mistar!
Pia hata kufanya hard reset haifai maana ukijaribu hiyo mistari inatokea!
 
iwashe kwa njia ya batan ya kuzima na kupunguza saut afu uirestore.... reset itakaa poa
 
Back
Top Bottom