Nini suluhisho la hii simu, waungwana! Msaada tafadhali...

Nini suluhisho la hii simu, waungwana! Msaada tafadhali...

Ukiirestart inaendelea hivyo hivyo, halafu inakuwa ngumu kujua kama imezima kweli au lah! Maana ukibonyeza power botton screen inadisplay kama pic inavyoonesha! So ukiihold power botton kwa mda screen inaonyesha imejizima lakini ukibonyeza kitufe cha kupunguza au kuongeza sauti inadisplay hiyo mistar!
Pia hata kufanya hard reset haifai maana ukijaribu hiyo mistari inatokea!
Kaka kama hiyo cm haijadondoka wala kukandamizwa itakua na tatizo kwenye mashine ya ndani, hilo tatizo lipo kweny h7 na h6 pia, hapo labda upate cm nyingine kwa mafundi ambayo mashine iko poa then unareplace, jaribu hivyo mkuu then feed me back.
 
Kaka kama hiyo cm haijadondoka wala kukandamizwa itakua na tatizo kwenye mashine ya ndani, hilo tatizo lipo kweny h7 na h6 pia, hapo labda upate cm nyingine kwa mafundi ambayo mashine iko poa then unareplace, jaribu hivyo mkuu then feed me back.
Poa mkuu...
 
Mbona ni wazi hapo display hkuna..ku restore wala ku reboot kama unavyoambiwa sio solution hapo.
 
Karibuni Samsung jamani,no stress.
Kwakweli sijui wenzangu mnaotumia simu tofauti na Samsung au iPhone mnaemjoy vipi maisha ya smartphones.
Samahani lakini...ni ushauri tu.
[emoji126][emoji126][emoji126]
 
Tecno zinazingua xana,hata tecno c8 kama network imezingua hata haziwez tengeneza hata wenyewe tecno ukiwapigia tecno nigeria ndo zinakotengenezwa wanasema no any solution yet,ila hiyo mistari ni kioo
 
Mbona ni wazi hapo display hkuna..ku restore wala ku reboot kama unavyoambiwa sio solution hapo.
Kwa hiyo mkuu, uwezekano wa kuibadilisha upo? Na gharama zake zipoje..
 
Iwe umenunua kwa mtu,au umenunua dukani,hela yako imeenda bure.
Ulikuwa unaitumiaje simu yako mpaka ikawa hivyo.
Nilinunua dukani nlikuwa nawaza kurejesha maana waranty yake bado ninayo, hata sielewi ilipatwa nini maana nilitaka kuitumia baada ya kuitoa mfukon ndio ikaaleta hayo madubwasha!!
 
Karibuni Samsung jamani,no stress.
Kwakweli sijui wenzangu mnaotumia simu tofauti na Samsung au iPhone mnaemjoy vipi maisha ya smartphones.
Samahani lakini...ni ushauri tu.
[emoji126][emoji126][emoji126]
Natumia sumsung sasa hivi!
 
Tecno zinazingua xana,hata tecno c8 kama network imezingua hata haziwez tengeneza hata wenyewe tecno ukiwapigia tecno nigeria ndo zinakotengenezwa wanasema no any solution yet,ila hiyo mistari ni kioo
Duh hawa techo! Simu zao za msimu specification zao nzuri lakini majanga yake yakianza, inakuwa kopo kabisa!
 
Back
Top Bottom