bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Labda macho yangu yanaweza kuwa na matatizo kwa hiki ninachokiona mitaani siku hizi.
Nahisi kuna asilimia kubwa sana ya dada zetu wapendwa kutoboa pua na kuvaa vipini sijui kuna siri gani au ni urembo kama urembo mwingine.
Zamani dada zetu walikua wachache sana waliotoga pua, tena baadhi ya maeneo haswa pwani kwa Tanzania. Ila siku hizi hata huku kijijini kwangu Bonyokwaa ninapoishi napishana na wadada wakiwa wametoga pua.
Eti dada zangu kuna siri gani na vipini vya pua?
Nahisi kuna asilimia kubwa sana ya dada zetu wapendwa kutoboa pua na kuvaa vipini sijui kuna siri gani au ni urembo kama urembo mwingine.
Zamani dada zetu walikua wachache sana waliotoga pua, tena baadhi ya maeneo haswa pwani kwa Tanzania. Ila siku hizi hata huku kijijini kwangu Bonyokwaa ninapoishi napishana na wadada wakiwa wametoga pua.
Eti dada zangu kuna siri gani na vipini vya pua?