Nini siri ya uweupe?

Kwani uongo?
Mwanamke mweusi bila traco ni mwanaume mwenzio..!! ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Hiki ndio kinawafanya mjichubue mkidhani wanaume wote wanapenda, endeleeni kujikoboa.
 
Hiki ndio kinawafanya mjichubue mkidhani wanaume wote wanapenda, endeleeni kujikoboa.
Hapa hatuongelei kujichubua watu tuna rangi zetu hasilia mixer mmanga manga..!!

Hao wa kujikoboa ni wako ๐Ÿ˜น
 
Hii inasababishwa na An inferiority complex,
Kuona watu weupe ni bora kuliko weusi,Superio vs Inferior,

Unakuta hata mtu akiwa ana ustaarabu wa kawaida tu,ataambiwa kua "Huyu jamaa ana mambo ya kizungu"

Unakuta mtu akiitwa mweusi anaona ni ubaguzi ila akiitwa mweupe anaona ni sifa!
 
Hapa hatuongelei kujichubua watu tuna rangi zetu hasilia mixer mmanga manga..!!

Hao wa kujikoboa ni wako ๐Ÿ˜น
Hatuongelei wenye natural light skin, tunwaongelea wanaodhani kujifanya weupe ni dili sana kwa mwanaume. Elewa somo ewe binti!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ