Hii inasababishwa na An inferiority complex,
Kuona watu weupe ni bora kuliko weusi,Superio vs Inferior,
Unakuta hata mtu akiwa ana ustaarabu wa kawaida tu,ataambiwa kua "Huyu jamaa ana mambo ya kizungu"
Unakuta mtu akiitwa mweusi anaona ni ubaguzi ila akiitwa mweupe anaona ni sifa!