Mkuu, kuna wakati 1 + 1 = 2, hakuna mtego wowote hapo mpaka uanze kufikiri complex numbers na madudu magumu.....
Mleta bandiko alitaka kukufahamisha tu kuwa ANAZO DIGRII 2 za kitaaluma na yuko mbiaoni kumaliza ya 3 mwakani.......
Alitegemea hongera na sifa kemkem.......
Na mi nimejaribu kuwaza tu
ivi hyo id MAGO maana yke nn ?nimezaliwa trh inaishia 6, nimeitimu msingi mwaka unaishia 9, form four mwaka unaishia 3, form six mwaka unaishia 6, 1st degree mwaka unaishia 9, 2nd degree mwaka unaishia 3, 3rd degree likely mwaka utaishia 9...
kuna siri yoyote juu ya namba fulani fulani na maisha ya mtu?... maana hata ndoa namba inaishia 3....
Ama kwa hakika hizi degree ni mzigo duh!hizo namba ulizotaja 7, 12, na 5 zote zinagusa moja kwa moja matukio muhimu katika maisha yangu....mwezi wa kuzaliwa, mwezi wa kuoa, hiyo ya mwisho naiacha kwa sababu maalum
Kama mim,nipo nasubir jibuWhat about 2, 3,4,8 &10?
Kwangu zajirudia sana
Sijui ungefafanua zaidi,kwa mfano mimi tarh ,mwezi na mwaka zina 4,matukio mengi ya kumbukumbu huwa yana 4 sanaNaona mixer ya witiri na shufwa.... Japo shufwa ndio nyingi... Sometimes shufwa inachukuliwa kama namba bahati na witiri namba nuksi
hizo namba ulizotaja 7, 12, na 5 zote zinagusa moja kwa moja matukio muhimu katika maisha yangu....mwezi wa kuzaliwa, mwezi wa kuoa, hiyo ya mwisho naiacha kwa sababu maalum
Namba hizo zinaonyesha kuwa ukizeeka utakuwa ''kigagula'' 😀😀😀Nimezaliwa 6. 06 . 1976
6. 6. 6
Sitegemei mtu aliyehitimu shahada ya tatu akawa na mawazo kama haya, labda kama walimu wake ni akina profesa maji marefu na sheikh yahaya husseinnimezaliwa trh inaishia 6, nimeitimu msingi mwaka unaishia 9, form four mwaka unaishia 3, form six mwaka unaishia 6, 1st degree mwaka unaishia 9, 2nd degree mwaka unaishia 3, 3rd degree likely mwaka utaishia 9...
kuna siri yoyote juu ya namba fulani fulani na maisha ya mtu?... maana hata ndoa namba inaishia 3....
nimecheka kwa sauti hadi kiazi kimenipaliaPesa unazo?
Maana hizo ni tarehe za wanaotapanya mali tu...omba sana
Wewe MSOMI vipi tena!?Umeniacha kidogo mkuu ina maana naweza kuzitumia vipi katika maisha yangu ya kila siku?
Ukiroho upi Mshana, wa upande wa Lucifer au Mungu wa kweli,fafanua zaidi tafadhali.To me Mshana huyu bwana naona ana shida.He could be coming from a satanic family,au yeye mwenyewe ni satanic kwa hiyo Shetani yuko kwenye kumuandaa kuwa mtumishi wake.Kumbuka Mshana kwamba the number of the Antichrist(Satan) is 666 na in the demonic world,sita na tisa ni sawa.Also remember that six is a multiple of three.369, 3+6+9= 18÷2=9 ÷3 =3 hizo ni namba za ukamilifu wa Kiroho na kidunia
Nyota muhimu hujui kuna watu wanasomea na wana PhD za kutafsiri nyota za watu...Wewe MSOMI vipi tena!?
Unaishi kwa kutegemea namba na ubashiri!! Hakuna lolote hapo hizo ni namba tu. Hizo digirii zote ulizo nazo bado..unaishi kwa kuchungulia nyota!
Kweli Waafrika wengi yetu ngoma, haya mengine tuwaachie wenyewe.
Ni mzigo haswa KWANI HUFAHAMU HILO NDUGU YANGU lazima network ziyumbe kidogo..Ama kwa hakika hizi degree ni mzigo duh!