369, 3+6+9= 18÷2=9 ÷3 =3 hizo ni namba za ukamilifu wa Kiroho na kidunianimezaliwa trh inaishia 6, nimeitimu msingi mwaka unaishia 9, form four mwaka unaishia 3, form six mwaka unaishia 6, 1st degree mwaka unaishia 9, 2nd degree mwaka unaishia 3, 3rd degree likely mwaka utaishia 9...
kuna siri yoyote juu ya namba fulani fulani na maisha ya mtu?... maana hata ndoa namba inaishia 3....
What about 2, 3,4,8 &10?369, 3+6+9= 18÷2=9 ÷3 =3 hizo ni namba za ukamilifu wa Kiroho na kidunia
Pesa unazo?nimezaliwa trh inaishia 6, nimeitimu msingi mwaka unaishia 9, form four mwaka unaishia 3, form six mwaka unaishia 6, 1st degree mwaka unaishia 9, 2nd degree mwaka unaishia 3, 3rd degree likely mwaka utaishia 9...
kuna siri yoyote juu ya namba fulani fulani na maisha ya mtu?... maana hata ndoa namba inaishia 3....
Lakini Mshana jr Kaka....mimi nimepata ufunuo mwingine kabisa wakati anaanza kujieleza...tazama nilivyomjibu...Huyo mtu ansonekana ni mtu wa kupata na kupoteza sanaaaaa369, 3+6+9= 18÷2=9 ÷3 =3 hizo ni namba za ukamilifu wa Kiroho na kidunia
nimezaliwa trh inaishia 6, nimeitimu msingi mwaka unaishia 9, form four mwaka unaishia 3, form six mwaka unaishia 6, 1st degree mwaka unaishia 9, 2nd degree mwaka unaishia 3, 3rd degree likely mwaka utaishia 9...
kuna siri yoyote juu ya namba fulani fulani na maisha ya mtu?... maana hata ndoa namba inaishia 3....
Ooh ok ok sawa kuna ukweli hapaPesa unazo?
Maana hizo ni tarehe za wanaotapanya mali tu...omba sana
Kuna witiri mbili na shufwa moja!Lakini Mshana jr Kaka....mimi nimepata ufunuo mwingine kabisa wakati anaanza kujieleza...tazama nilivyomjibu...Huyo mtu ansonekana ni mtu wa kupata na kupoteza sanaaaaa
Naona mixer ya witiri na shufwa.... Japo shufwa ndio nyingi... Sometimes shufwa inachukuliwa kama namba bahati na witiri namba nuksiWhat about 2, 3,4,8 &10?
Kwangu zajirudia sana
Mkuu, kuna wakati 1 + 1 = 2, hakuna mtego wowote hapo mpaka uanze kufikiri complex numbers na madudu magumu.....369, 3+6+9= 18÷2=9 ÷3 =3 hizo ni namba za ukamilifu wa Kiroho na kidunia
Sasa hpa nimekupata...tena hyo Nuksi kubwaNaona mixer ya witiri na shufwa.... Japo shufwa ndio nyingi... Sometimes shufwa inachukuliwa kama namba bahati na witiri namba nuksi
Mkuu, kuna wakati 1 + 1 = 2, hakuna mtego wowote hapo mpaka uanze kufikiri complex numbers na madudu magumu.....
Mleta bandiko alitaka kukufahamisha tu kuwa ANAZO DIGRII 2 za kitaaluma na yuko mbiaoni kumaliza ya 3 mwakani.......
Alitegemea hongera na sifa kemkem.......
Na mi nimejaribu kuwaza tu
Kabisa, na kufa ajiandae basi kati ya 3,6,9Hakuna siri yoyote hapo. Ni maneno tu na zushi za watu.
Nimealikwa 23/04/1988Naona mixer ya witiri na shufwa.... Japo shufwa ndio nyingi... Sometimes shufwa inachukuliwa kama namba bahati na witiri namba nuksi
Mshana sijaelewa hakuna lugha rahisi uelezee vizuri?369, 3+6+9= 18÷2=9 ÷3 =3 hizo ni namba za ukamilifu wa Kiroho na kidunia