Masanilo
Platinum Member
- Oct 2, 2007
- 22,286
- 4,493
Ngoja nimdipu mpwa fidel akupe siri ya mafanikio. Mpwa wangu masaa mawili mchezo kwisha!
teh teh teh teh
Ngoja nimdipu mpwa fidel akupe siri ya mafanikio. Mpwa wangu masaa mawili mchezo kwisha!
Wadada michango please, nitakuja na version ya wanaume tunapenda nini! Siku ya kwanza tu demu anaomba atumie simu yako....analonga longa hadi ka msimbazi kako kwisha. Demu anapiga ulabu utafikiri yuko East Africa Breweries! Anauwa kwa kuomba pesa ya Taxi hahahahaha
Halafu bahati mbaya zaidi ulabu wenyewe heinnekken! Kama kachukua gari ya boifrendi wa rafiki yake mzee ujue hela ya petroli utatoa. Usisahau siku hiyo atakuwa na allergy ya vyakula vya uswazi. Ataagiza makuku na shangazi zake kuku. Ya kurosti, kuchoma na ya kubanika. Hahaha!
Mkuu mbona mchoyo sana wa thanks? unanunulia kweli mademu beer wewe!?
Mkuu mbona mchoyo sana wa thanks? unanunulia kweli mademu beer wewe!?[/QUOTE]
Beautifull Girls makes us to buy beer but Ugly Girls makes us to drink beer!!
Hahaha! Nshakugongea, kaangalie uthibitishe. Bia atanunuliwa kutegemeana na makubaliano. Waulize wahudumu wa maeneo ya Tegeta watakuambia.
Mkuu mbona mchoyo sana wa thanks? unanunulia kweli mademu beer wewe!?[/QUOTE]
Beautifull Girls makes us to buy beer but Ugly Girls makes us to drink beer!!
Hii imetulia sana naikubali!
aknolejidi wisi SENKSIHahaha! tukutuku likikosa breki halafu nyumba ikakosekana tutaenda kusimamia Kimara na mgonjwa wetu. Hahaha!
Katufe hukaoni Mkuu teh teh!!Hii imetulia sana naikubali!
Washikaji zako mkuu, ama huwa unaacha hela counter wahudumu wakija wanajifanya kuna mtu kakupa offer ili usizungushe round? hahahahaahh watu mahesabu sana hasa nyie wanyimi wa thanks hahahahah
Katufe hukaoni Mkuu teh teh!!
You caught me in the middle of eja.....lation! Mmmhhhhhhh! hahahahahahahahh
Katufe hukaoni Mkuu teh teh!!
Hahaha! Sometimes kanapoteza netiweki.
HILI NALITAMBUA!Hahaha! Waulize wapwa Geoff, Kaizer na Fidel kilichowatokea Jumamosi. Wacha mchezo mazee. Mi ni mbahili lakini linapokuja swala la kilauri...... hivi kinyume cha ubahili ni nini? Acha tukate mayi bana siku zinakatika hizi.
HILI NALITAMBUA!
personally shemeji alinitafutia muhudumu wa kwenda kupumzika nae!SENKSI
HILI NALITAMBUA!
personally shemeji alinitafutia muhudumu wa kwenda kupumzika nae!SENKSI
mpwa ulipokataa kupokea simu yangu ulinisikitisha sana!call ya kwanza tulikuwa kwa kinibuKitufe cha thanks kazi yake nini?
Jamaa alipiga round moja, zikiisha anaishia ch.ooni hahahaha
Halafu bahati mbaya zaidi ulabu wenyewe heinnekken! Kama kachukua gari ya boifrendi wa rafiki yake mzee ujue hela ya petroli utatoa. Usisahau siku hiyo atakuwa na allergy ya vyakula vya uswazi. Ataagiza makuku na shangazi zake kuku. Ya kurosti, kuchoma na ya kubanika. Hahaha!
mpwa ulipokataa kupokea simu yangu ulinisikitisha sana!call ya kwanza tulikuwa kwa kinibu
hapo ndipo nakataa!Acha ubahili, unapoamua kumtoa mtu Out, Jiandae kaka. wekundu watatu tu mbona wanatosha!!
heineken 4-----------10,000
Serengeti 5(zako)---- 7,500
chakula(roghly)-------15,000
-
-
-
Au mnasemaje waungwana