KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,578
- 8,600
Hivi watanzania tumelalaa??au niustarabu??ulishawahi kuwa nashahuku yakupanga NHC??Je ulijiuliza swali gani??nadhani ulikata tamaa kwa jinsi ambavyo ungelianza ukaona nindoto za mchana kwakuwa uliona nikitu kisichowezekana kwa mtanzania mwenye ngozi nyeusi, Kwa taarifa yako wahindi akitoka leo India anapata kwa nini sisi watanzania!!??
Nini tatizo??Je wahindi ndio walengwa kwa NHC??Je viongozi wa NHC hawana uchungu na watanzania wenzao??
Je tuandamane kuwakurupua huko katika mjengo??wakati walengwa tunaumizwa nakodi za sh.50.000 kwa kachumba kwa mwezi wahindi wenye pesa wanatanua kwa sh.20.000 vyumba viwili choo bafu jiko sebule je serikali hipo kwa ajiri ya watanzania??je waziri kazi yake nini??je kwa hali hiyo utairudisha madarakani??ainkiller:
Nini tatizo??Je wahindi ndio walengwa kwa NHC??Je viongozi wa NHC hawana uchungu na watanzania wenzao??
Je tuandamane kuwakurupua huko katika mjengo??wakati walengwa tunaumizwa nakodi za sh.50.000 kwa kachumba kwa mwezi wahindi wenye pesa wanatanua kwa sh.20.000 vyumba viwili choo bafu jiko sebule je serikali hipo kwa ajiri ya watanzania??je waziri kazi yake nini??je kwa hali hiyo utairudisha madarakani??ainkiller: