Wapi na wapi... kwa kitu gani... mbona umekaa kitoto sana!? Grow up... kijana!
Na kazi itaanza kwa kutoa maonyo mara tatu ... baada ya hapo, vijana wa kazi watashuka na kuanza mkong'oto hadi kieleweke.
Wapi na wapi... kwa kitu gani... mbona umekaa kitoto sana!? Grow up... kijana!
JC.
Achana na huyu jamaa ukimbana anafuta posts zako au kukufungia pia ni MOD hapa.nitumie email yako kwenye PM yangu nikutajie mtu gani huyu.kwenye mijadala mingine anajifanya ni mzalendo na Mtanzania namba moja ila UDINI ndio agenda yake ya kwanza.usimjibu wewe weka hoja tu,kaishiwa jamaa.
Sishangai kukutana na watu kama wewe, This is JF... kusanyiko la aina zote za saratani za fikra...!Na kazi itaanza kwa kutoa maonyo mara tatu ... baada ya hapo, vijana wa kazi watashuka na kuanza mkong'oto hadi kieleweke.
Sishangai kukutana na watu kama wewe, This is JF... kusanyiko la aina zote za saratani za fikra...!
Umepania mwenyewe...! ah ah ah ah ah! very funny!That's correct.
Hii ni way better kuliko Boko Haram forums. Au wewe unaonaje.
Kwakuwa CHADEMA hawana tamko lolote kuhusu mamabo ya msingi kama haya "Nakuhakikishia nchi hii wasahau heri hata hao CCM" . Seriously hapo CHADEMA na opportunist tu wamejaa wanaogopa ku handle issue sensity kama hizi kwenye jamii..ovyoooo! ndiyo waje wapewe uongozi. kuongozo ni zaidi ya kupiga kelele.
Nina wasiwasi na wao ni "Agency wa kanisa na wakabila" tuepushe na hili kikombe itakuwa balaa
Je ni kweli hakuna hakuna msimamo kwenye issue hizi?
Najenga shule nilipue ya nini? Nimewauliza viongozi wa CHADEMA kwa kuwa hawana majibu "Wameliwa??)
Ehe nikimaliza kulipua misikiti nalipua kanisa endelea!!!! unajifurahisha sanaaaa lakini uzuri ni kwamba utachukia we lakiniutazidi kutusikia sisi hatuna shida tunapeta jinyonge.Na ukimaliza kulipua shule, unaanza kulipua misikiti ya washia (assuming kuwa wewe ni msuni) au kinyume chake. Si ndio?
Ehe nikimaliza kulipua misikiti nalipua kanisa endelea!!!! unajifurahisha sanaaaa lakini uzuri ni kwamba utachukia we lakiniutazidi kutusikia sisi hatuna shida tunapeta jinyonge.
Mimi ndio napeta na kikombe changu cha chai ...happy than ever...
sawa sawa jinyonge...
CHADEMA hawana msimamo hata juu ya jinsi serikali inavyotakiwa kuwa, hiyo kwao bado ni rasimu sifuri katika kile wanachoita ''sera ya majimbo''. Katika hali kama hiyo si sahihi kutegemea kuwa CHADEMA watakuwa na msimamo juu ya detailed issues kama za OIC etc. by the way, kwa nini swali limeelekezwa kwa CHADEMA peke yao? CUF, TLP na wengine mbona hawajaulizwa misimamo yao?
Mwafrika ana matatizo ya Akili...endelea na mambo yako..Chadema wasipotoa msimamo watabakia upinzania hadi kufa... bado watoto sana kuendesha nchi...CCM JUU JUU ZAIDI.