Nini Msimamo wa CHADEMA katika mambo haya?

Kutoambilika kwa watu hawa ni sababu moja inayofanya watu wenye kuona mbali wasisumbuke nao - kutoa majibu



Chadema kina wajibu wa kulinda amani lakini hakina wajibu wa kutoa majibu kwa kila swali la kipuuzi linalotolewa na watu ambao wameonyesha wazi kuwa hawaitakii mema Tanzania



Kusema kuwa ni maongezi ya kijiweni mbona ni nafuu zaidi, chadema wangetaka kuwaudhi hawa watu, wangetumia lugha kali kama yangu - kuwaita hawa watu kwa vile walivyo - mujahidini.



Chadema haina sababu ya kurudia kuwaambia watu ambao tayari hata wewe umesema kuwa hawaambiliki. Nakuhakikishia kuwa hawa watu hawamtishi yeyote na dawa yao inajulikana wazi - kipigo barabara toka kwa vijana wa ukonga


Asante hii mi naanza kuona kama biashara ya kuomba 'manna' leo hii bwana god hataileta.

Endeleeni kama itaendelea mi naishia hapa kwa leo.
 
Asante hii mi naanza kuona kama biashara ya kuomba 'manna' leo hii bwana god hataileta.

Endeleeni kama itaendelea mi naishia hapa kwa leo.

No, ile biashara ya kupata mabikira 70 ahera baada ya kujilipua na kuua watoto na wazee vikongwe wasio na hatia ndiyo imefilisika.
 
Nimekua nikifuatilia maoni mbalimbali katika Forum hii na vyombo vya habari nikawa sijapata jibu halisi kuhusiana na msimamo wa chama cha CHADEMA katika mambo kadhaa yanayotokea katika taifa hili ambapo ningeomba wadau mnieleweshe:

1. Nini Kauli na Msimamo wa CHADEMA katika waraka uliotolewa na Kanisa Katoliki?
2. Nini Kauli na Msimamo wa CHADEMA katika waraka uliotolewa na Shura ya Maimamu?
3. Nini Maoni ya CHADEMA na Msimamo wao kuhusiana na Mahakama ya Kadhi Tanzania?
4. Mwisho ni nini msimamo wa CHADEMA katika dhana ya Tanzania kujiunga na OIC?

Wadau ningependa kupata ufafanuzi wa haya ili nijue


Hoja hizi zimekaa kiushari tu .Hoja hizi zinajirudia na tulisha zijadili hapa . Hoja hizi hawezi kuhama CCM ziende Chadema hapa ni kumtafuta nyoka miguu . Chedema walisha sema kwamba Waraka uko makini hauna shida maana hautaji dini wala kumkataa asiye mkristo. Kwanza nadhani Chadema wapashwa kuchukua mazuri ya waraka wakayatumia kama walikuwa hawana . Hapa walisema watu kibao juu waraka . Waraka uko sahihi waislam safi kabisa wasio na jazba wanajua hili na wanadhani ni vitu vya maana vimeandikwa .

Waraka wa Waislam mie siuguzi maana sielewi wanataka nini . Mwisho kabisa naona wao wana gombana na kanisa katoliki . Chadema hawawezi kuongelea ugomvi wa waislam na Kanisa wakiwa hawajui kwa nini kuna ugomvi huo .

OIC iko wazi Tanzania ni Nchi haina dini na OIC neno hilp pekee linasema umoja wa Waislam sasa tuwe makini na hizi hoja za kuchokonoana . Chadema wana kazi ya kujenga Chama chao .
 
Hoja hizi zimekaa kiushari tu .Hoja hizi zinajirudia na tulisha zijadili hapa . Hoja hizi hawezi kuhama CCM ziende Chadema hapa ni kumtafuta nyoka miguu . Chedema walisha sema kwamba Waraka uko makini hauna shida maana hautaji dini wala kumkataa asiye mkristo. Kwanza nadhani Chadema wapashwa kuchukua mazuri ya waraka wakayatumia kama walikuwa hawana . Hapa walisema watu kibao juu waraka . Waraka uko sahihi waislam safi kabisa wasio na jazba wanajua hili na wanadhani ni vitu vya maana vimeandikwa .

Waraka wa Waislam mie siuguzi maana sielewi wanataka nini . Mwisho kabisa naona wao wana gombana na kanisa katoliki . Chadema hawawezi kuongelea ugomvi wa waislam na Kanisa wakiwa hawajui kwa nini kuna ugomvi huo .

OIC iko wazi Tanzania ni Nchi haina dini na OIC neno hilp pekee linasema umoja wa Waislam sasa tuwe makini na hizi hoja za kuchokonoana . Chadema wana kazi ya kujenga Chama chao .

Shari pembeni lakini ukweli wenyewe kuna watu seriously wana translate tofauti hivi vitu kama ulivyoona dakika za mwisho attack za wengine humu ndani.

Sasa uwezi sema its something to be ignored, if im honest im not interested na waraka but mahakama ya kazi hiyo ni interference in the laws and its impractical for the good of society.

religous laws do not offer eqaul rights by gender, age etc. questions have to be asked to any political party. kwani some are serious about these issues you dont need to look further from the attacks i had just received god knows what provoked the reaction.

So there people on the side of the religion who have strong views on this issues and to be honest i do not think they should be tolerated anymore. Chadema being one of the major party, it should understand this is one of many problems its going to inherit if it where to win the next election. Surely they have to protect our pieceful ways dont you think.

Ps. think like a politician if your to respond rather than come back with religion ideology.
 
waraka ni hatari kwa nchi yetu uwe wa kiislam ama wa kiikristo, viongozi wa dini wakae kimya na wasijiingize kwenye siasa
 
No, ile biashara ya kupata mabikira 70 ahera baada ya kujilipua na kuua watoto na wazee vikongwe wasio na hatia ndiyo imefilisika.
Mabikira 70 (!?), kuwachukiwa Baba na Mama yako, watoto, ndugu na jamaa zako, kisha ukaachana na mengi hapa duniani, kisha kwenye uzima wa milele ukapewa mara 100, kwa kila ulicho kiacha wakiwemo wake 100. Kipi bora!?
 
Leo tuna maswali muhimu sana particulary haya mambo yalioulizwa utasemaje ni la kipuuzi. Kwani serikali ya sasa inadili nayo kwa namna moja au nyingine hivyo hata chadema ingekuwa ndio tawala still maswali haya yangekuwepo na baadhi ya waislamu still wangedai hayo mambo yao hapo. utasemaje huo ni upuuzi wakati unaweza leta mgogoro ktk jamii.
Chadema hawana ujasiri wala ukomavu wa kisiasa kuweza kuyazungumzia haya.

Hapa unapoteza muda wako bure bro.
 
Chadema hawana ujasiri wala ukomavu wa kisiasa kuweza kuyazungumzia haya.

Hapa unapoteza muda wako bure bro.

Sio ujasiri au ukomavu wa kisiasa kuzungumzia mambo ya kina Boko Haram - ni utindio wa akili kufikiri kuwa haya mambo ni muhimu kwa Tanzania.
 
Sio ujasiri au ukomavu wa kisiasa kuzungumzia mambo ya kina Boko Haram - ni utindio wa akili kufikiri kuwa haya mambo ni muhimu kwa Tanzania.
Pole kijana... poole sana!

Si lazima mvua ya mate ikutoke unapojibu hoja.

Punguza, chuki, fitna na jazba kwanza, ndio uje kujibu hoja.
 
waraka ni hatari kwa nchi yetu uwe wa kiislam ama wa kiikristo, viongozi wa dini wakae kimya na wasijiingize kwenye siasa


Naomna shule Semenya , kwa kunielezea ubaya wa waraka ule wa wakatoliki tafadhali .Na kuwataka viongozi wa dini kukaa kimya means what ? Wao si watanzania ? wapi watakapo fika wasikike wakikemea maovu ? Wake kimya wasijihusishe ila waitwe kwenda kuwaapisha viongozi hao what will be the connection then?
 
Shari pembeni lakini ukweli wenyewe kuna watu seriously wana translate tofauti hivi vitu kama ulivyoona dakika za mwisho attack za wengine humu ndani.

Sasa uwezi sema its something to be ignored, if im honest im not interested na waraka but mahakama ya kazi hiyo ni interference in the laws and its impractical for the good of society.

religous laws do not offer eqaul rights by gender, age etc. questions have to be asked to any political party. kwani some are serious about these issues you dont need to look further from the attacks i had just received god knows what provoked the reaction.

So there people on the side of the religion who have strong views on this issues and to be honest i do not think they should be tolerated anymore. Chadema being one of the major party, it should understand this is one of many problems its going to inherit if it where to win the next election. Surely they have to protect our pieceful ways dont you think.

Ps. think like a politician if your to respond rather than come back with religion ideology.

Sasa ndiyo umesema kwamba unalia lia na kadhi na mahakama yake na si kuja ka kivuli ka Chadema . Chadema ina watu wa dini zote na wasio kuwa nadini hawawezi kukusaidia na mahakaman ya kadhi . Tumesha pewa go ahead kuunda mahakama yetu ya kadhi na watalaama toka serikalini wana shiriki au bado kuna mgogoro wa kadhi ? Hili nadhani limeisha na point ni kwamba things were stirred by CCM wana serikali na kila means wayamalize wenyewe na kutaka wengine waingilie .Kwanza hawa kuandika nyaraka hizo sasa wataka waseme nini kama chama ? Ila waraka wa wakatoliki uko clear kwa maslahi ya Nchi na kama unabisha onyesha kipengele kina ongelea kupindua nchi sote tutakipinga hapa .
 
we mzima kweli, hayo tena yametoka wapi.......
JC.
Achana na huyu jamaa ukimbana anafuta posts zako au kukufungia pia ni MOD hapa.nitumie email yako kwenye PM yangu nikutajie mtu gani huyu.kwenye mijadala mingine anajifanya ni mzalendo na Mtanzania namba moja ila UDINI ndio agenda yake ya kwanza.usimjibu wewe weka hoja tu,kaishiwa jamaa.
 
Nimekua nikifuatilia maoni mbalimbali katika Forum hii na vyombo vya habari nikawa sijapata jibu halisi kuhusiana na msimamo wa chama cha CHADEMA katika mambo kadhaa yanayotokea katika taifa hili ambapo ningeomba wadau mnieleweshe:

1. Nini Kauli na Msimamo wa CHADEMA katika waraka uliotolewa na Kanisa Katoliki?
2. Nini Kauli na Msimamo wa CHADEMA katika waraka uliotolewa na Shura ya Maimamu?
3. Nini Maoni ya CHADEMA na Msimamo wao kuhusiana na Mahakama ya Kadhi Tanzania?
4. Mwisho ni nini msimamo wa CHADEMA katika dhana ya Tanzania kujiunga na OIC?

Wadau ningependa kupata ufafanuzi wa haya ili nijue
WALE vibogoyo wawili wa Chadema ambao ni Members hapa labda watajibu.kale kakibogoyo kao nimekauliza maswali kamekimbia.tena nimekaeleza kuwa kama kanaona noma kujibu LIVE hapa kanitumie PM kamekimbia.
 
Back
Top Bottom