KalamuTena
JF-Expert Member
- Jul 7, 2018
- 13,181
- 17,182
Hapo kwenye nini kilifuata nikujuze tu kuwa mahakama ya wananchi iliazimia kuwa muda utaongea.. Hatukubali dhulma hizi ziendelee tena.
Jimama26, naweka ujumbe wako huu kwenye kumbukumbu zangu mhimu.
Ila nina shaka, ulipoweka maneno "muda utaongea". Mtu anapotumia maneno haya, mara nyingi huwa ana maana ya kinyume cha yale aliyoyasema mwanzo!