Kazi yake nn maana nishauzaga wkt fulani ila vichache
Kilo tunazoongelea ni bondo bichiUnazijua Saa Nane Utanikoma ndugu Mwandishi? Ni moja kati ya bidhaa zinazotengenezwa kwa kutumia Mabondo. Watu wanaiongea tu kilo moja kilo moja, hiyo kilo mpaka ukaipate kwenye hilo Bondo kavu!
Wanatengenezea nyuzi za kushonwa binadamuKazi yake nn maana nishauzaga wkt fulani ila vichache
Ova
Samaki awe na kilo 80 halafu bondo lake liwe na kilo 25?? Bondo lina uzito karibu robo ya uzito wa samaki??
Huu ni uongo mtupu kama ule wa kulima matikiti ekari moja upate milioni 15
Hao watakuwa matajiri sana. Wanakula almas bhanaUko Buemba msoma vijijini wanatumia kama mboga wakichanganya na mlenda
Hauna manufaa kwa sasaNaufufua uzi!
Twenzetu Bunda au Kibara tukafanye uchunguziNimeupenda bure huu uzi,naomba kujua hiyo biashara ya mabondo inafanyikaje?mfano nikinunua samaki ya grade ya chini kabisa wa sh.milioni 1 naweza kupata faida kiasi gani kwa kadirio la chini?
Biashara ya samaki ni Kama biashara ya madiniNimeupenda bure huu uzi,naomba kujua hiyo biashara ya mabondo inafanyikaje?mfano nikinunua samaki ya grade ya chini kabisa wa sh.milioni 1 naweza kupata faida kiasi gani kwa kadirio la chini?
Kwakweli huweziyaelewa kama siyo mtu wakanda ya ziwaDuh sorry wakuu kwani mabondo ni nini hayo?siyajui
Si chakula sanasana nyuzi za kushobea after operation