Zinedine
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 1,187
- 694
Nimekuwa nikiona delegation kubwa za high profile leaders wa Tanzania kwa maana ya Viongozi Watendaji wakuu wa Serikali (Wakurugenzi wa Mashirika, Idara na baadhi ya Makatibu Wakuu wakitumia fedha za wavuja jasho kwenda kwenye mikutano hii ya Diaspora nchi za Amerika na Canada. Ukifuatilia kinachofanyika kule ni kama aina flani ya siku ya furaha ambayo baadhi ya Watanzania wenye mamlaka katika Serikali wameamua kwenda kufurahika ughaibuni ilihali Watanzania walio wengi wanakosa kisima chenye thamani chini ya Tiketi ya mtu mmoja anayekwenda kwenye Diaspora Conference hizi.
MICHUZI: Uhaba wa Maji kijiji cha Mkata
Naomba kueleshwa yafuatayo wana JF
1. Ni manufaa gani Tanzania imeyapata au inayapata kwa kupitia Diaspora Conference hizi
2. Je ni vifungu gani vya fedha wanavyotumia Wakurugenzi na Makatibu Wakuu hawa kuhudhuria Conference hizi? Je Bunge la Tanzania limepitishaje vifungu hivyo? Na je fedha zinatoka wapi kwani tunasikia hata Mishahara nyie mlio Serikalini kupata mgogoro?
3. Je hawa wanaokwenda kushiriki Conference hizo wanawatendea vyema Watanzania? tuwaweke kundi gani?
4. Je kuna yoyote ambaye anaweza kutuma orodha kamili ya Watendaji Wakuu hao na gharama zao?
matukio-michuzi: President Kikwete opens the Tanzania Diaspora Conference in Edmonton, Canada, October 5, 2012
Plz naomba mchango wenu wana JF
MICHUZI: Uhaba wa Maji kijiji cha Mkata
Naomba kueleshwa yafuatayo wana JF
1. Ni manufaa gani Tanzania imeyapata au inayapata kwa kupitia Diaspora Conference hizi
2. Je ni vifungu gani vya fedha wanavyotumia Wakurugenzi na Makatibu Wakuu hawa kuhudhuria Conference hizi? Je Bunge la Tanzania limepitishaje vifungu hivyo? Na je fedha zinatoka wapi kwani tunasikia hata Mishahara nyie mlio Serikalini kupata mgogoro?
3. Je hawa wanaokwenda kushiriki Conference hizo wanawatendea vyema Watanzania? tuwaweke kundi gani?
4. Je kuna yoyote ambaye anaweza kutuma orodha kamili ya Watendaji Wakuu hao na gharama zao?
matukio-michuzi: President Kikwete opens the Tanzania Diaspora Conference in Edmonton, Canada, October 5, 2012
Plz naomba mchango wenu wana JF