Ndugu zangu na wana jamii forums, nina maswali machache ambayo yanaitaji Msaada... Ni malengo gani mke mchawi anaweza kuwa nayo? Maana kama ananiloga nisifanikiwe kwenye ajira yangu na yeye anaathirika, Kama analoga watoto nayeye anaathirika, sasa swali langu ni kwamba ni malengo gani anaweza kuwa nayo kwa familia?
Mimi ni Mkristo, Mkatoliki, nimesoma, nimeajiriwa kama mkaguzi wa hesabu, sijawahi tegemea ushirikina hata kidogo kwenye maisha yangu!
Naomba majibu!
Mimi ni Mkristo, Mkatoliki, nimesoma, nimeajiriwa kama mkaguzi wa hesabu, sijawahi tegemea ushirikina hata kidogo kwenye maisha yangu!
Naomba majibu!