Nini madhara ya kuomba course ambayo huna vigezo vyake!

Vicin

JF-Expert Member
Jul 19, 2017
676
295
Wadau nataka kujua kama kuna tatizo lolote ukiomba course mfano ya biashara lakini umesoma arts. Nauliza kwa sababu kuna vyuo wanatoa mapendekezo matano, je ulimaliza mapendekezo yako ukaweka ambayo huna vigezo ili kwamba ikitokea umepata ukachange hukohuko chuoni!. Msaada kidogo wa mawazo yenu Wadau. Asanteni sana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni hivi.... Nina diploma ya sheria course inayoendana nayo ni llb, je kwenye chuo ambacho wana nafasi tano, hizo nne zinazobaki ntajaza nn! Umenielewa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Chagua kozi zinazoendana...! Usichague ambazo unajua fika kuwa huwezi chaguliwa..! Bora achague wa direct kutoka form six kuliko wa chuo (diploma). Direct wanaweza kumfikilia.. Lets say mtu aliyesoma PCM or PCB anaweza kuchaguliwa akasoma ACCOUNTANCY but aliyesoma diploma lets say yako ukaachwa..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukienda kusoma kitu ambacho unajua fika huna vigezo baadae usijelia na kuona watu wabaya wamekufanyia figisu,japo mwanzo unaweza chaguliwa,ila bado najiuliza kwa nini ung'anganie kitu ambacho unajua huna vigezo,?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom