bigmomkipipa
Member
- Jun 2, 2016
- 5
- 45
Wakati mwingine hili neno huwa Linanipa shida sana. Unakuta Mtu anakupigia simu au SMS Kuku salimia. Anauliza uko wapi hatuonani,ukimwambia nimesafiri tu kosaaaa." Unijie na zawadi" ndio atakachokwambia. Sasa najiuliza huyu MTU zawadi kwa kipi alichokifanya . maana hata ukirudi mkionana tu anadai zawadi.
. nisaidieni pliz
. nisaidieni pliz