Habari zenu wana JF.
Rafiki yangu anatuhumiwa katika kesi, jana baada ya kufika mahakamani na kusikilizwa kesi yake
kwa mlalamikaji kuleta shahidi Hakimu wakati anaahirisha kesi alimwambia mtuhumiwa siku
inayofuata atakapokwenda awakilishe UTETEZI WAKE, je ina maana gan ?.
Rafiki yangu anatuhumiwa katika kesi, jana baada ya kufika mahakamani na kusikilizwa kesi yake
kwa mlalamikaji kuleta shahidi Hakimu wakati anaahirisha kesi alimwambia mtuhumiwa siku
inayofuata atakapokwenda awakilishe UTETEZI WAKE, je ina maana gan ?.