Sniper JF-Expert Member Joined Mar 8, 2008 Posts 2,008 Reaction score 950 May 5, 2012 #1 Naomba kusaidiwa maana ya Unazi, utaskia mtu anasema "usilete unazi wewe" au "acha unazi", inakuwa na maana gani? Gaijin, kiraia, SMU and 16 others like this.
Naomba kusaidiwa maana ya Unazi, utaskia mtu anasema "usilete unazi wewe" au "acha unazi", inakuwa na maana gani? Gaijin, kiraia, SMU and 16 others like this.
Mphamvu JF-Expert Member Joined Jan 28, 2011 Posts 10,702 Reaction score 3,348 May 28, 2012 #2 Ina maana ya upenzi uliopitiliza kiasi kwamba unashindwa kuona uhalisia endapo mambo hayendi sawa.