Sniper JF-Expert Member Mar 8, 2008 1,915 709 May 5, 2012 #1 Naomba kusaidiwa maana ya Unazi, utaskia mtu anasema "usilete unazi wewe" au "acha unazi", inakuwa na maana gani? Gaijin, kiraia, SMU and 16 others like this.
Naomba kusaidiwa maana ya Unazi, utaskia mtu anasema "usilete unazi wewe" au "acha unazi", inakuwa na maana gani? Gaijin, kiraia, SMU and 16 others like this.
Mphamvu JF-Expert Member Jan 28, 2011 10,702 3,288 May 28, 2012 #2 Ina maana ya upenzi uliopitiliza kiasi kwamba unashindwa kuona uhalisia endapo mambo hayendi sawa.