i411
JF-Expert Member
- Mar 23, 2011
- 906
- 290
Huu ni matazamo wangu tuu, nimeona katika habari nyingi wabunge wengi wanailalamikia serikali imefanya vile ikapanda ikashuka. Sasa mimi nauliza hivi ni nani serikali? Nazani kunawengine wanavyo sema serikali wanamaanishaa ni JK tuu, Labda wengine ni CCM tuu na wabunge wao. Mimi nazani wabunge wa upinzani ni serikali pia manake wanakutana pamoja huko bungeni na wabunge wote wanalipwa mara 40 ya kima cha chini cha mtanzania.
Mimi naona serikali ni wale watu wote ambao wananafasi katika kufanya maamuzi juu ya mambo ambayo yanaweza kunufaisha umaa. Kwa maana hii serikali inaweza kuwa kuanzia mwalimu wa shule ya msingi, kama anatatizo anapeleka kwa bosi wake "Mwalimu mkuu" yeye atapeleka kwa bosi wake huko wizarani alafu hilo tatizo litapanda mpaka litatuliwe kwa yule aliye na uwezo wa kutatua.
Sasa iwaje wabunge na viongozi wa vyama vya siasa wailaumu serikali wakati wao ni serikali au hawajui wadhifa wao. wanatakiwa watutatulie matatizo yetu siyo watuambie tofauti zao na watendaji wengine wa kazi kila siku.
Mimi naona serikali ni wale watu wote ambao wananafasi katika kufanya maamuzi juu ya mambo ambayo yanaweza kunufaisha umaa. Kwa maana hii serikali inaweza kuwa kuanzia mwalimu wa shule ya msingi, kama anatatizo anapeleka kwa bosi wake "Mwalimu mkuu" yeye atapeleka kwa bosi wake huko wizarani alafu hilo tatizo litapanda mpaka litatuliwe kwa yule aliye na uwezo wa kutatua.
Sasa iwaje wabunge na viongozi wa vyama vya siasa wailaumu serikali wakati wao ni serikali au hawajui wadhifa wao. wanatakiwa watutatulie matatizo yetu siyo watuambie tofauti zao na watendaji wengine wa kazi kila siku.