Kuna ule wa kutaka kujua mambo mazuri kama vileUdadisi, Utafiti, Uchunguzi, Shani, kusaka habari kwa ajili ya kuelimisha umma.
Na kuna ule wa kutaka kujua mambo ya watu, ili kuwaafanya wajisikie vibaya, kama vile mambo yao ya aibu na vituko, hii inaingia kwenye kundi la Upekuzi, Upekupeku, Ujasusi, na mara nyingi mtu wa kundi ili anakuwa ni mwenye kuongeza mamneno yake, japokuwa analolizungumza ni la kweli lakini ataongeza la kwake (kutia chumvi).
mmbeya ni mtu yeyote yule ambaye anatoa habari za kweli pasipo kuulizwa na mtu yeyote.
kama alivyosema mchangiaji aliepita ni kuwa ili habari yake iwe na mvuto ni lazima aongezee
maneno yake ili iwe na mvuto.