Nini maana ya mlango wa nane?

Nini maana ya mlango wa nane?

Pucilio

Member
Joined
Jan 30, 2013
Posts
13
Reaction score
5
Hizi story nimekuwa nikizisikia, kuna watu kwenye maisha yaki wakiingia, utaandamwa na mikosi na hakuna ufanyalo ukafanikiwa. Kama ulikuwa na mali, basi utapukutika zote kiajabu kabisa.

Je umewahi isikia hii, unachochote tukajuzana zaidi juu ya hili.

Karibu.
 
Mwenyewe nliskiaga juu juu tuu.mlango wa nane au wa saba?idk.ila sikutilia maanani.
Ila lilihusiana na jina la ukoo flan ivi nlilitaja.Mmari ka sikosei.ila sielewi kabisaaa inahusianaje.au ni imani tuu
 
Imani hii ipo sana, mimi nimekuwa nikiisikia zaidi kwenye makabila ya wapare.
Tusubiri tusikie na wengine wanasemaje?

Nilishuhudia mke akiachwa, kwa madai ni mlango wa nane.

Nahisi kuna kitu kwenye hili. Ningependa nijifunze kuelewa hili jambo kwa mapana yake.
 
Imani hii ipo sana, mimi nimekuwa nikiisikia zaidi kwenye makabila ya wapare.
Tusubiri tusikie na wengine wanasemaje?

Nilishuhudia mke akiachwa, kwa madai ni mlango wa nane.

Nahisi kuna kitu kwenye hili. Ningependa nijifunze kuelewa hili jambo kwa mapana yake.

Kweli hata mimi hii koo ya wapare nimeshawahi kusikia........naogopa ku name calling lakini lipo........sina uhakika kama ni kweli kuna mkosi wa hivyo.........
 
Nilidhani ni mimi pekee nimesikia hii. Kama na ninyi mmesikia, inaonyesha kuna chembechembe za ukweli kwa kiasi fulani juu ya uwepo wajambo hili.

Naamini humu wapo ambao, either wameathiriwa na jambo hili, au kushuhudia na kupata maelezo ya kina juu ya jambo hili.
 
mlango wa nane maana yake ni kua kama utapata mume au mke lazima ufilisike sisi kabila langu zamani walikua wanakataa kuoana na wabondei kwa mujibu ya kua hutaendelea kamwe na utakua muflis maisha yako yote.
 
Back
Top Bottom