Madereva njooni mjibu hili swaliwAkuu umofia kwenu? kuna huu msemo unaosema...mchana tochi usiku magogo? je nini maana yake?
Wakikujibu unitag broMadereva njooni mjibu hili swali
ooh kumbeeeMaana yake.. magari yakitembea mchana kila sehem unakamatwa na trafk wanakupiga toch kama upo speed kubwa.... Na yakitembea usiku wanakutana na majambazi wameweka magogo barabaran ili usimame wakupore.... Ndo maana madereva hawajui wafanye safari zao mchana au usiku
washajibu mkuuWakikujibu unitag bro
pamoja mkuuMambo ni magumu kwa madereva ... mchana wakipita Barabarani na magari yao wanakamatwa na Polisi (tochi), ... na wakisema wawekwepe Polisi mchana kwa kutembea usiku pia wanawekewa magogo na Majambazi wanaporwa mali zao.
Kwahiyo msemo huo huo unatumika kwa mtu yeyote kuonyesha kuwa hakuna afadhali katika hali uliokuwa nayo .. hata ukifanya Plan B!
cc: Ubezea . Linguistics . Magisha .
Kuna sehemu bagamoyo inaitwa mku**si Mali hapo madereva wametekwa Sana na kuliwa viboga
Mkuu ni wapi hapo. Maana naendesha sana gari dogo binafsi usiku njia ya msata. Itabidi niache aisee