Yenga08
JF-Expert Member
- Jul 7, 2019
- 464
- 891
Habari wana janvi,
Naomba mwenye kujuwa maana halisi ya maisha anijuze maana nimekuwa nikifikilia sana kuhusu maisha lakini sipati maana halisi.
Unakuta mtu anasema huyu atakuja kuwa na maisha magumu sana au maisha marahisi sana. Je, maisha ni uhai anaokuwa nao mtu, au maisha ni zile kazi za kila siku zimuwezeshazo mtu kupata riziki, au maisha ni maendeleo anayokuwa nayo mtu.
Mwingine utamsikia inapotokea ajali na kuuwa watu anasema daaah hawa jamaa wamekatishwa maisha.
Je,
Maisha ni kazi?
Maisha ni Uhai?
Maisha ni Maendeleo?
Maisha ni vita?
Maisha ni uzima?
Maisha ni furaha?
Maisha ni shida?
Au Maisha ni nini
Ahsanteni sana.
Naomba mwenye kujuwa maana halisi ya maisha anijuze maana nimekuwa nikifikilia sana kuhusu maisha lakini sipati maana halisi.
Unakuta mtu anasema huyu atakuja kuwa na maisha magumu sana au maisha marahisi sana. Je, maisha ni uhai anaokuwa nao mtu, au maisha ni zile kazi za kila siku zimuwezeshazo mtu kupata riziki, au maisha ni maendeleo anayokuwa nayo mtu.
Mwingine utamsikia inapotokea ajali na kuuwa watu anasema daaah hawa jamaa wamekatishwa maisha.
Je,
Maisha ni kazi?
Maisha ni Uhai?
Maisha ni Maendeleo?
Maisha ni vita?
Maisha ni uzima?
Maisha ni furaha?
Maisha ni shida?
Au Maisha ni nini
Ahsanteni sana.