Erickjr
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 994
- 788
Ina Maana Gani??Sio utani ni kweli, ni kwa watu wote lakini hiyo mila Siku hizi haitekelezwi ila ilikuwepo
Ina Maana Gani??Sio utani ni kweli, ni kwa watu wote lakini hiyo mila Siku hizi haitekelezwi ila ilikuwepo
Ni kuomboleza tu...Ina Maana Gani??
Kwa sisi waxaramo unapofiwa kuanzia siku ile ya kwanza ya msiba mtalala chini kwenye mkeka siku tatu hii tunaita kukaliza maiti siku yatatu asubuhi na mapema tunaamka kwa pamoja tunafagia uwanja pamoja na vyumba vyote walivyolala wafiwa takataka zote tunaweka kwenye sufulia tunachanganya na majivu bibi au shangazi atahusika kubeba kichwani tunaongozana wote kwa pamoja aliebeba sefulia akiwa ametangulia mbele hadi makabulini anatupa sefulia pamoja na uchafu wake haraka sana tunageuza na kuludi nyumbani hiii humaanisha maladh yoyote aliyougua marehemu yasijiludie kwa mwanafamilia mwingine.
hii nayo ni aina ya ushirikina.
Kwa sisi waxaramo unapofiwa kuanzia siku ile ya kwanza ya msiba mtalala chini kwenye mkeka siku tatu hii tunaita kukaliza maiti siku yatatu asubuhi na mapema tunaamka kwa pamoja tunafagia uwanja pamoja na vyumba vyote walivyolala wafiwa takataka zote tunaweka kwenye sufulia tunachanganya na majivu bibi au shangazi atahusika kubeba kichwani tunaongozana wote kwa pamoja aliebeba sefulia akiwa ametangulia mbele hadi makabulini anatupa sefulia pamoja na uchafu wake haraka sana tunageuza na kuludi nyumbani hiii humaanisha maladh yoyote aliyougua marehemu yasijiludie kwa mwanafamilia mwingine.
Kwa sisi waxaramo unapofiwa kuanzia siku ile ya kwanza ya msiba mtalala chini kwenye mkeka siku tatu hii tunaita kukaliza maiti siku yatatu asubuhi na mapema tunaamka kwa pamoja tunafagia uwanja pamoja na vyumba vyote walivyolala wafiwa takataka zote tunaweka kwenye sufulia tunachanganya na majivu bibi au shangazi atahusika kubeba kichwani tunaongozana wote kwa pamoja aliebeba sefulia akiwa ametangulia mbele hadi makabulini anatupa sefulia pamoja na uchafu wake haraka sana tunageuza na kuludi nyumbani hiii humaanisha maladh yoyote aliyougua marehemu yasijiludie kwa mwanafamilia mwingine.
Hahahahaha una utani wa ngumi wewe.
Me Mila yangu ni Uislam, tofauti na hapo sina mila ingine,
Mtu akifa, azikwe siku ile ile labda km kafa ucku au jion sana, kumsengenya maiti,
Unapokufa ndio unapozikiwa,
Kulia ruksa ila kuomboleza haifai kwan unakufuru, mf. "baba/mama umeondoka, nitaishi vipi mimi jamani, nani atanitunza, bora tungeenda wote...."
"mume wangu jaman, umeniacha kwanini, nimeumbuka jaman uwiii, Mungu ungenichukua mimi ukamuacha yeye, watoto hawa watatu nawalea vp mimi maskini...."
Baada ya kuzika majiran warudi makwao wabaki ndugu kujadili mustakabali mzima.
Na mengineyo.
Aisaeeee!! basi mkifiwa nitaarifu nije na perfume,udi na ubani !!! Haha haha haSisi kwa mila zetu tukifiwa hatuogi wiki nzima, u can imagine the smell now...
Kwa sisi waxaramo unapofiwa kuanzia siku ile ya kwanza ya msiba mtalala chini kwenye mkeka siku tatu hii tunaita kukaliza maiti siku yatatu asubuhi na mapema tunaamka kwa pamoja tunafagia uwanja pamoja na vyumba vyote walivyolala wafiwa takataka zote tunaweka kwenye sufulia tunachanganya na majivu bibi au shangazi atahusika kubeba kichwani tunaongozana wote kwa pamoja aliebeba sefulia akiwa ametangulia mbele hadi makabulini anatupa sefulia pamoja na uchafu wake haraka sana tunageuza na kuludi nyumbani hiii humaanisha maladh yoyote aliyougua marehemu yasijiludie kwa mwanafamilia mwingine.