Nini maana ya kulala chini unapofiwa?

Nini maana ya kulala chini unapofiwa?

Kwa sisi waxaramo unapofiwa kuanzia siku ile ya kwanza ya msiba mtalala chini kwenye mkeka siku tatu hii tunaita kukaliza maiti siku yatatu asubuhi na mapema tunaamka kwa pamoja tunafagia uwanja pamoja na vyumba vyote walivyolala wafiwa takataka zote tunaweka kwenye sufulia tunachanganya na majivu bibi au shangazi atahusika kubeba kichwani tunaongozana wote kwa pamoja aliebeba sefulia akiwa ametangulia mbele hadi makabulini anatupa sefulia pamoja na uchafu wake haraka sana tunageuza na kuludi nyumbani hiii humaanisha maladh yoyote aliyougua marehemu yasijiludie kwa mwanafamilia mwingine.

Kama amekufa kwa Ukimwi vile virusi mnakuwa mmevimwaga au?km alishamwambukiza mwenza snapona.

Kaka okokeni muachane na vifungo vya siasa.
 
mila nyingi za kibantu zinafanana, mimi nimetoka arusha na tunafanya hivyo ila baada ya kufagia uchafu tunauweka chini ya mgomba na baadae ndizi ikikomaa tunatengeneza pombe

Mnakuwa mnamnywa siyo.
 
mila nyingi za kibantu zinafanana, mimi nimetoka arusha na tunafanya hivyo ila baada ya kufagia uchafu tunauweka chini ya mgomba na baadae ndizi ikikomaa tunatengeneza pombe

Hahaa..saluti.
 
Kwa sisi waxaramo unapofiwa kuanzia siku ile ya kwanza ya msiba mtalala chini kwenye mkeka siku tatu hii tunaita kukaliza maiti siku yatatu asubuhi na mapema tunaamka kwa pamoja tunafagia uwanja pamoja na vyumba vyote walivyolala wafiwa takataka zote tunaweka kwenye sufulia tunachanganya na majivu bibi au shangazi atahusika kubeba kichwani tunaongozana wote kwa pamoja aliebeba sefulia akiwa ametangulia mbele hadi makabulini anatupa sefulia pamoja na uchafu wake haraka sana tunageuza na kuludi nyumbani hiii humaanisha maladh yoyote aliyougua marehemu yasijiludie kwa mwanafamilia mwingine.

wewe sio Mzaramo
 
Kwa sisi waxaramo unapofiwa kuanzia siku ile ya kwanza ya msiba mtalala chini kwenye mkeka siku tatu hii tunaita kukaliza maiti siku yatatu asubuhi na mapema tunaamka kwa pamoja tunafagia uwanja pamoja na vyumba vyote walivyolala wafiwa takataka zote tunaweka kwenye sufulia tunachanganya na majivu bibi au shangazi atahusika kubeba kichwani tunaongozana wote kwa pamoja aliebeba sefulia akiwa ametangulia mbele hadi makabulini anatupa sefulia pamoja na uchafu wake haraka sana tunageuza na kuludi nyumbani hiii humaanisha maladh yoyote aliyougua marehemu yasijiludie kwa mwanafamilia mwingine.

..duh sasa kama marehemu alikufa kwa marelia muache kuweka net kisa mmetupa sufulia makaburini...ila kama nimeielewa kidogo
 
Na makochi kutolewa sponchi ili wakalie chaga nini tafsiri yke?
Du. Mara nyingi makochi huondolewa mahali pake ili kutoa nafasi ya watu wanaokaa hasa akina mama. katika kuondoa makochi mara nyingi cushion hotolewa na wengine huzitumia chini kupunguza maumivu ya kukaa au kulala kwenye sakafu. Kwani kuna kitu cha ajabu hapo?
 
Kwa sisi waxaramo unapofiwa kuanzia siku ile ya kwanza ya msiba mtalala chini kwenye mkeka siku tatu hii tunaita kukaliza maiti siku yatatu asubuhi na mapema tunaamka kwa pamoja tunafagia uwanja pamoja na vyumba vyote walivyolala wafiwa takataka zote tunaweka kwenye sufulia tunachanganya na majivu bibi au shangazi atahusika kubeba kichwani tunaongozana wote kwa pamoja aliebeba sefulia akiwa ametangulia mbele hadi makabulini anatupa sefulia pamoja na uchafu wake haraka sana tunageuza na kuludi nyumbani hiii humaanisha maladh yoyote aliyougua marehemu yasijiludie kwa mwanafamilia mwingine.
!!!!!
 
Habari wana JF.

Naomba kuuliza, hivi nini maana haswa ya wafiwa kulala chini kipindi cha msiba? Hii ni kwa baadhi ya makabila.

Nafikiri hii ilikuwa ni ishara ya kuonyesha maombolezo. Nakumbuka miaka ya nyuma kidogo WAFIWA tulikuwa hatuogi kwa siku zote tatu wala kubadilisha nguo mpaka mkimaliza kuzika.

Lakini siku hizi watu wanapigilia misuti na sare za madera kutoka dubei kwenye msiba na mazishi. Na pia tunalala vitandani Kama kawaida na kugegeda juu. Nafikiri ni Alama za nyakati ( Signs of the Time).
 
Back
Top Bottom