Kwa sisi waxaramo unapofiwa kuanzia siku ile ya kwanza ya msiba mtalala chini kwenye mkeka siku tatu hii tunaita kukaliza maiti siku yatatu asubuhi na mapema tunaamka kwa pamoja tunafagia uwanja pamoja na vyumba vyote walivyolala wafiwa takataka zote tunaweka kwenye sufulia tunachanganya na majivu bibi au shangazi atahusika kubeba kichwani tunaongozana wote kwa pamoja aliebeba sefulia akiwa ametangulia mbele hadi makabulini anatupa sefulia pamoja na uchafu wake haraka sana tunageuza na kuludi nyumbani hiii humaanisha maladh yoyote aliyougua marehemu yasijiludie kwa mwanafamilia mwingine.
Sisi kwa mila zetu tukifiwa hatuogi wiki nzima, u can imagine the smell now...
Nafikiri pamoja na mazingira pia ni ishara ya kuomboleza
Kwenye vitabu vya dini tunaoneshwa zamani kipindi cha maombolezo walikuwa wanavaa magunia na kunyoa nywele pia
Sio utani ni kweli, ni kwa watu wote lakini hiyo mila Siku hizi haitekelezwi ila ilikuwepoWacha utani, ujue tunajadili kufiwa humu! Dada hiyo mila kwa wote au watoto tu?
Kwa sisi waxaramo unapofiwa kuanzia siku ile ya kwanza ya msiba mtalala chini kwenye mkeka siku tatu hii tunaita kukaliza maiti siku yatatu asubuhi na mapema tunaamka kwa pamoja tunafagia uwanja pamoja na vyumba vyote walivyolala wafiwa takataka zote tunaweka kwenye sufulia tunachanganya na majivu bibi au shangazi atahusika kubeba kichwani tunaongozana wote kwa pamoja aliebeba sefulia akiwa ametangulia mbele hadi makabulini anatupa sefulia pamoja na uchafu wake haraka sana tunageuza na kuludi nyumbani hiii humaanisha maladh yoyote aliyougua marehemu yasijiludie kwa mwanafamilia mwingine.
Sio utani ni kweli, ni kwa watu wote lakini hiyo mila Siku hizi haitekelezwi ila ilikuwepo
Mama yangu aliniambia hizi habari, na wao walikuwa wanatoroka kwenda kuoga mtoni, lakini hairuhusiwi kuoga mpk mtakapovunja matanga.Daaah, nawaza kwa sauti hapa, mtu asieoga 1 week anavokuwa! Daah, km unaenda ofisini hapo....!
Mama yangu aliniambia hizi habari, na wao walikuwa wanatoroka kwenda kuoga mtoni, lakini hairuhusiwi kuoga mpk mtakapovunja matanga.
Wacha utani, ujue tunajadili kufiwa humu! Dada hiyo mila kwa wote au watoto tu?
Na nasikia hakuna kujisaidia haja ndogo/kubwa kwa wiki nzima mpaka msiba uishe
Nina uhakika humaanishi watu wote msibani hulala chini na kucha vitabda visitumike? Ninachojua ni kuwa kwa vile msibani wanakuja watu wengi na ile sio nyumba ya wageni ni obvious vitabda havitawatosha na hivyo lazima watu walale chini. Nothing special.
mila nyingi za kibantu zinafanana, mimi nimetoka arusha na tunafanya hivyo ila baada ya kufagia uchafu tunauweka chini ya mgomba na baadae ndizi ikikomaa tunatengeneza pombeHuu sasa ni ushirikina