Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,915
- 6,720
Tunapozungumzia Kufa kiroho maana yake unakufa neno na kwenye mioyo ya jamii inayokuzunguka
Watu wako wa karibu na jamii haikuthamini yaani mtu anakuwa hakukumbuki kabisa Kama vile inavyokuwa haikumbukwi maiti.
Ukiongea chochote hueleweki isipokuwa utakumbukwa na wafu wenzako na kueleweka na wafu wenzako nae akifufuka hakukumbuki.
Hii katika jamii inatokea Sana, watu wanandugu, marafiki wenye uwezo na hawana roho mbaya lakini kwako, hawazi kukusaidia wala kukujali kwa lolote lile.
Ukimkopesha mtu akukumbuki na Akikukumbuka anakudharau.
Watu watakao kukumbuka na kuunda urafiki ni watu unaofanana nao umri.
Hivyo ukiona hizo dalili ujue umekufa kiroho.
Watu wako wa karibu na jamii haikuthamini yaani mtu anakuwa hakukumbuki kabisa Kama vile inavyokuwa haikumbukwi maiti.
Ukiongea chochote hueleweki isipokuwa utakumbukwa na wafu wenzako na kueleweka na wafu wenzako nae akifufuka hakukumbuki.
Hii katika jamii inatokea Sana, watu wanandugu, marafiki wenye uwezo na hawana roho mbaya lakini kwako, hawazi kukusaidia wala kukujali kwa lolote lile.
Ukimkopesha mtu akukumbuki na Akikukumbuka anakudharau.
Watu watakao kukumbuka na kuunda urafiki ni watu unaofanana nao umri.
Hivyo ukiona hizo dalili ujue umekufa kiroho.