Hatamu ni zile kamba za kumuongozea farasi...hivyo mwalimu nyerere alitumia hilo neno Hatamu kipindi akiachia madaraka kwa mzee mwinyi...alisema sasa imefika wakati wa kuachia Hatamu za uongozi. Akiwa na maana kiongozi ndiye mshika Hatamu za nchi, ndiye anaelekeza mambo yaende wapi na kwa namna gani kama mwendesha farasi anavyofanya.
Nafikiri kidogo imekusaidia mkuu