Nini maana ya Azimio la Zanzibar?

Nini maana ya Azimio la Zanzibar?

hawa wana nia ya kumfunga mzee Hashim Lungwe, maana kwenye hilo kundi yeye ndio mpinzani pekee

Lowassa waziri mkuu wa zamani hawezi kua mpinzani

Mzee wa mama Tanzania aliwahi kupewa ubunge na kikwete(ccm), upinzani ameanza lini?

Seif Sharif Hamad huyu alikua kibaraka wa mda mrefu wa mchonga hawezi kua mpinzani

Zitto zuberi kabwe huyu hata wenzake chadema wanajua si mpinzani huyu

Labda mzee Lungwe, nae nasema labda

Hii nchi kuna wapinzani kweli ila si hili kundi lililokutana Zanzibar.
Very precise bro...maigizo tu yale ya wana ccm wanaojifanya opposition...watamuumiza rungwe tu...

Huyo katibu mkuu wa chadema mwenyewe ni mtu wa mfumo
 
Back
Top Bottom