Ukiangalia hiz dhambi nyingne ni kwel ziko logical,..kwa mfano hyo ya kutaman mal/mke wa mwenzio,au kuiba etc,i see the impact,kwamba kuna madhara dhahir kabsa hutokea baada ya kufanya hizo dhambi,..ila kwa gf na bf ambao wameridhiana ,kiukwel kwa tafsir ya kuzini sion kama ni kosa lolote.