Nini maana halisi ya kuzini (You shall not commit adultery)

Angalia hizo Amri ulipewa na nani? Usiangalie kosa kwa maana ya kumkosea mwanadamu mwenzio bali aliyekupa amri hizo.Elewa kufanya hivyo ni chukizo kwa aliye kupa amri hiyo hata kama ninyi mnaotekeleza mmeridhiana na mnafurahia kufanya hivyo.
Hii ni kwa waamini tu wa Dini zenye amri hizo!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…