Nini lengo la idhaa za kiswahili za mashirika ya kimataifa kama BBC, Deutsche Welle, VOA n.k?

Baba Heri

JF-Expert Member
Jul 23, 2013
1,503
2,222
Tangu nikiwa mdogo enzi za short wave nimekuwa nikiyasikia matangazo ya idhaa za kiswahili za mashirika ya utangazaji ya mataifa makubwa kama BBC, DW, VOA, RFI, China Radio International, Radio Iran, Radio Japan n.k.

Nambeni kujuzwa je mashirika haya yanafaidika vipi kwani sijawahi kusikia wakirusha matangazo ya biashara. Je kama hawafanyi biashara wanajilipaje? Je, redio za Tanzania zinazorusha matangazo ya mashirika haya hulipwa au wao ndio wanayalipa hayo mashirika?

Ni hayo tu.
 
Tumesoma kwenye History kwamba, moja ya indicator ya kudhihirisha kuwa Africa kuna ukoloni mamboleo (Neo-colonialism) ni uwepo wa mashirika makubwa ya kibepari (MUlti-national co-operations MNCs) ndani ya Africa. Hii inajumuisha mashirika ya biashara ya kimataifa na vyombo vya habari vya kimagharibi.

Tuki focus kwenye vyombo vya habari, vyombo hivi kama BBC, VOA and the like vipo Africa kwa lengo la kuwezesha ukoloni mambo leo kwa kusambaza propaganda za magharibi na kuichora Africa kama bara ambalo bila Ulaya haliwezi kuendelea.
 
Tumesoma kwenye History kwamba, moja ya indicator ya kudhihirisha kuwa Africa kuna ukoloni mamboleo (Neo-colonialism) ni uwepo wa mashirika makubwa ya kibepari (MUlti-national co-operations MNCs) ndani ya Africa. Hii inajumuisha mashirika ya biashara ya kimataifa na vyombo vya habari vya kimagharibi.

Tuki focus kwenye vyombo vya habari, vyombo hivi kama BBC, VOA and the like vipo Africa kwa lengo la kuwezesha ukoloni mambo leo kwa kusambaza propaganda za magharibi na kuichora Africa kama bara ambalo bila Ulaya haliwezi kuendelea.
Hata mimi huwa ninaamini hivyo mkuu, nadhani pia idhaa hizi zinachangia sana kuvuruga tamaduni zetu na kuhamasisha uvunjivu wa maadili yetu. Cha ajabu kwanini serikali inaruhusu?
 
hizi media ni sawa na misaada ya nchi za amerika na ulaya kwa afrika, sie utashangilia kua ni mizuri kwetu ilihali tunadumazwa! MTAZAMO
 
Hata mimi huwa ninaamini hivyo mkuu, nadhani pia idhaa hizi zinachangia sana kuvuruga tamaduni zetu na kuhamasisha uvunjivu wa maadili yetu. Cha ajabu kwanini serikali inaruhusu?
Mawazo finyu na una upeo mdogo wa kufikiri.
Wanavyotoa habari kuwa Kabila anakataa kuachia madaraka Congo na kuwa Kagame anavymnyanyasa Diane Rwigara huo ni uvunjifu ganu wa amani au utamaduni wetu?
 
Tumesoma kwenye History kwamba, moja ya indicator ya kudhihirisha kuwa Africa kuna ukoloni mamboleo (Neo-colonialism) ni uwepo wa mashirika makubwa ya kibepari (MUlti-national co-operations MNCs) ndani ya Africa. Hii inajumuisha mashirika ya biashara ya kimataifa na vyombo vya habari vya kimagharibi.

Tuki focus kwenye vyombo vya habari, vyombo hivi kama BBC, VOA and the like vipo Africa kwa lengo la kuwezesha ukoloni mambo leo kwa kusambaza propaganda za magharibi na kuichora Africa kama bara ambalo bila Ulaya haliwezi kuendelea.
Wanafunzi wako wanafaidi...
Ufafanuzi mzuri sana aisee usisite kuongeza nyama ugali kama hapungui!!
 
Back
Top Bottom